Tuesday, 22 October 2019
USAJIRI WA ELAM CHRISTIAN HARVEST SEMINARY
Bwana
Yesu apewe sifa.
Chuo
cha Biblia cha Elam Christian Harvest Seminary kimekuwa kikitoa mafunzo kwa
kushirikiana na Chuo cha Biblia cha Great Commission Bible College tangu kuanzishwa
kwake mnano mwaka 2014 mpaka sasa
Chuo
hiki kimekuwa kikitoa mafunzo kuanzia ngazi ya Astashahada hadi ngazi ya
Shahadada ya uzamivu.
Watu
wengi wamekuwa wakiuliza kuhusu usajiri wa 
Chuo hiki
Napenda
kuwajulisha wanafunzi, wadau wa  Elam
Seminary na watu wote kuwa ujumla kuwa 
chuo cha Biblia cha Elam Christian Harvest Seminary  ni mwanachama na Kimesajiriwa na Bodi ya  Kimataifa ya Usajiri wa Vyuo vya Biblia na
Theolojia iliyoko nchini Marekani Inayojulikana kwa jina la THE ASSOCIATION OF
INDEPENDENT CHRISTIAN COLLEGES AND SEMINARIES (AICCS) 
Chuo
cha Biblia cha Elam   Christian Harvest
Seminary kimepewa mamlaka na bodi  kutoa
mafunzo kuanzia ngazi ya cheti hadi ngazi ya uzamivu katika fani za Elimu ya
Kikristo.
Hivyo
 wadau wote na wanafunzi msiwe na shaka
Elam  Seminary ni mahali sahihi kwaajili
ya yako. Hakika hutajuta kusoma katika chuo hiki.
Ni
mimi ndugu katika Kristo Yesu
Rev.Dr. Erick L. Mponzi
MKURUGENZI MKUU
ELAM CHRISTIAN HARVEST
SEMINARY
Friday, 25 January 2019
MABADILIKO YA ADA ZA MASOMO ELAM SEMINARY
TANGAZO LA MABADILIKO  YA ADA NA MALIPO MENGINEYO
Bwana Yesu apewe sifa.
Kutokana na Kikao cha
Bodi ya Wadhamini kilichoketi   tarehe
30/09/2019  napenda kuwatangazia
mabadiliko ya gharama za Masomo kwa wanafunzi wanaosoma kwa njia ya mtandao na
kwa njia ya Posta kama zilivyopitishwa na Bodi ya Wadhamini katika kikao tajwa
hapo juu.
I.                  
ADA ZA MASOMO
| 
NGAZI YA MASOMO | 
ADA  (TSH) | 
| 
ASTASHAHADA  | 
20,000/= | 
| 
STASHAHADA  | 
20,000/= | 
| 
STASHAHADA YA JUU | 
25,000/= | 
| 
SHAHADA YA KWANZA | 
30,000/= | 
| 
STASHAHADA YA
  UZAMILI | 
35,000/= | 
| 
SHAHADA YA
  UZAMILI | 
45,000/= | 
| 
SHAHADA YA
  UZAMIVU | 
95,000/= | 
Kwa wanafunzi wanaoendelea na
Masomo gharama hizo za ada za masomo zitaanza kutumika tarehe 01/01/2020
Kwa wanafunzi wapya wanaojiunga
na masomo kwa mwaka wa masomo wa 2019/2020 gharama za masomo  zinaanza kuafanya kazi tarehe 10/10/2019
II.               
ADA ZA USAJIRI
| 
NGAZI YA MASOMO | 
ADA  (TSH) | 
| 
ASTASHAHADA  | 
15,000/= | 
| 
STASHAHADA  | 
15,000/= | 
| 
STASHAHADA YA JUU | 
15,000/= | 
| 
SHAHADA YA KWANZA | 
20,000/= | 
| 
STASHAHADA YA
  UZAMILI | 
25,000/= | 
| 
SHAHADA YA
  UZAMILI | 
30,000/= | 
| 
SHAHADA YA
  UZAMIVU | 
55,000/= | 
III.            
 ADA ZA  ZA TAFITI ZA   KITAALUMA
| 
AINA YA  UTAFITI | 
ADA  (TSH) | 
| 
SHAHADA YA KWANZA | 
105,00/= | 
| 
STASHAHADA YA
  UZAMILI | 
105,00/= | 
| 
SHAHADA YA
  UZAMILI | 
150,000/= | 
| 
SHAHADA YA
  UZAMIVU | 
185,000/= | 
IV.             
ADA  ZA VYETI 
| 
AINA YA CHETI | 
ADA  (TSH) | 
| 
ASTASHAHADA  | 
55,000/= | 
| 
STASHAHADA  | 
70,000/= | 
| 
STASHAHADA YA JUU | 
80,000/= | 
| 
SHAHADA YA KWANZA | 
125,000/= | 
| 
STASHAHADA YA
  UZAMILI | 
125,000/= | 
| 
SHAHADA YA
  UZAMILI | 
165,000/= | 
| 
SHAHADA YA
  UZAMIVU | 
185,000/= | 
Majoho  yanakodishwa kwa Tsh, 50,000/=
Mungu awabariki sana
nawatakia   masomo   na utumishi mwema katika Kristo Yesu
Wenu katika Kristo Yesu
Rev.R.Y.Bitumbe
Kny: Mkurugenzi  Mipango, Fedha na Utawala
ELAM CHRISTIAN HARVEST SEMINARY
Subscribe to:
Comments (Atom)
