
 ELAM CHRISTIAN HARVEST SEMINARY TANZANIA
ELAM CHRISTIAN HARVEST SEMINARY TANZANIA
In Collaboration With
GREAT
COMMISSION BIBLE COLLEGE (USA)
NAFASI ZA MASOMO YASHAHADA YA  BIBLIA NA THEOLOJIA KWA NJIA YA  MTANDAO (INTANETI)
Elam Christian  Harvest Seminary  kwa kushirikiana na Chuo cha Biblia cha  Great Commision Bible  College cha Marekani wanapenda
kuwatangazia Wakristo wote Masomo ya Biblia na Theolojia kwa njia ya mtandao (Intaneti).
Huna haja ya kuacha
kazi yako na familia yako  na kwenda
chuoni kwa miaka mingi. Chuo chetu kinakufikia kule uliko kwa njia ya mtandao (Intaneti.)
Tunatoa masomo ya
Biblia na Theolojia yenye uwezo wa kumwandaa mwanafunzi kwaajili ya huduma.
Baada ya kufuzu masomo haya mwanafunzi ataweza kumtumikia Mungu kwa ufanisi
katika huduma mbalimbali kwaajili ya kuujenga mwili wa Yesu Kristo (Kanisa).
Masomo Haya ni  ya ngazi ya Shahada ya kwanza (Bachelor Degree)  na ni ya   Miaka
Mitatu.
Masomo haya
yanatambuliwa Kimataifa. Chuo cha Great Commission Bible College Kinatambuliwa
na Bodi ya elimu ya  juu ya nchini  Marekani. Hivyo Shahada zake zinatambuliwa
Kimataifa. (It is accredited Christian
Institution)
Kuna Jumla ya Kozi  hamsini (50 ) zenye jumla ya krediti 130.  Mwanafunzi  Atasoma Kozi moja hadi mbili kwa mwezi
kutegemeana na uwezo wake.
MUUNDO
WA  UJIFUNZAJI.
Mwanafunzi atatumiwa  kitabu cha kozi/Somo, mwongozo wa kozi na
mtihani kwenye email yake. (barua pepe) Mwanafunzi Atasoma na kujibu mtihani,
baada ya kujibu mtihani ataurudisha chuoni kwa emaili yetu ambasyo ni elamexam2010@gmail.com  nasi tutaisahihisha mitihani hiyo na
kurejesha majibu kwa mwanafunzi kwa njia ya email  yake.
MFUMO
WA MALIPO
·       
Ada ya usajiri ni Tsh. 15,000/=  
·       
Ada kwa kila kozi/somo  ni Tsh. 25,000 
·       
Ada inalipwa kwa njia ya M-pesa kwa
namba ya Simu 0762532121.
Baada ya mwanafunzi
kujisajiri na kulipa fedha ya usajiri ndipo ataruhusiwa kuendelea na masomo.
Ada ya masomo itatakiwa kulipwa kabla mwanafunzi hajatumiwa masomo yake.
LUGHA
YA MAFUNZO
Masomo  program hii yanatolewa kwa lugha mbili
Kiswahili na kiingereza. Mwanafunzi atachagua mwenyewe lugha ya kutumia katika
masomo yake.
VIFAA
VINAVYOTAKIWA
Vitabu vya kozi zote
vipo katika mfumo wa PDF na Word, hivyo mwanafunzi  atalazimika kuwa na kompyuta/IPAD ili aweze
kujifunza masomo haya.
Kila mwanafunzi ni
lazima awe na email yake mwenyewe (Barua pepe) atakayotumia katika masomo yake.
TUZO/AWARDS
Mwanafunzi atakayefuzu
kozi zote atatunukiwa Shahada ya kwanza ya Biblia na Theolojia(Bachelor Degree
in Bible and Theology. B.Th) ya Chuo cha Biblia cha GREAT COMMISSION BIBLE
COLLEGE   cha Marekani.
Baada ya kufuzu masomo
haya mwanafunziataweza kumtumikia Mungu kwa ufanisi na  kuweza kushika nafasi mbalimbali katika
kanisa na taasisi mbalimbali za Kikristo. 
Mtu yeyote anaetaka
kujiunga naprogramu  hii ya mafunzo
anapaswa kujaza fomu iliyoko chini ya ukurasa hii na kuipesti katika ukurasa
mwingine wa uwanja wa kuandikia (Microsoft word ) na kuituma kwetu kwenye email
ifuatayo:  elamseminary@gmail.com 
Waweza
kuupitia mtaala wa programu ya Shahada ya  Biblia na Theolojia (B.Th) katika ukurasa
unaofuata hapo chini.
Kwa Maelezo Zaidi
Wasiliana nasi kwa barua pepe au namba za simu  zilizopo hapo juu.
Wako katika Mavuno ya
Kiroho
Rev.Dr.
Erick   L Mponzi
 (Dip Min, BED, (Counseling),  B.Th, M.Min, ThD)
GCBC REPRESETANTIVE
ORODHA
YA KOZI ZA SHAHADA YA KWANZA YA BIBLIA NA THEOLOGIA
MWAKA
WA KWANZA
| 
NAMBA YA KOZI | 
JINA LA KOZI | 
KREDITI  | 
HADHI  | 
| 
EBB
  100 | 
Utafiti
  wa agano la kale | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBB
  101 | 
Utafiti
  wa agano Jipya | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBT
  100 | 
Sifa
  na Ibada | 
2 | 
Lazima | 
| 
EBT
  101 | 
Mbinu
  za kujifunza Maandiko Matakatifu | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBA
  100 | 
Stadi
  za mawasiliano na usomaji | 
2 | 
Lazima | 
| 
EBT
  102 | 
Kujenga
  misingi ya Imani | 
2 | 
Lazima | 
| 
EBB
  102 | 
Historia
  ya Biblia | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBT
  103 | 
Mbinu
  za Kufuasa | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBT
  104 | 
Misingi
  ya Theologia  Ya  Kikristo  | 
3 | 
Lazima | 
Semista
ya pili
| 
NAMBA YA KOZI | 
JINA LA KOZI | 
KREDITI  | 
HADHI  | 
| 
EBB
  200 | 
Pentatuki
  na kuundwa kwa taifa la Israeli | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBT
  200 | 
Historia
  ya Dini | 
2 | 
Silazima
   | 
| 
EBT
  201 | 
Kuwa
  na ushirika na Mungu | 
2 | 
Lazima | 
| 
EBT
  202 | 
Sikukuu
  za  Bwana | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBB
  201 | 
Utangulizi
  wa Sarufi ya Kigiriki | 
3 | 
Silazima
   | 
| 
EBB
  203 | 
Utangulizi
  wa Sarufi ya  Kiebrania | 
3 | 
Silazima
   | 
| 
EBM
  203 | 
Nguvu
  ya Maombi | 
2 | 
Lazima | 
| 
EBA
  200 | 
Teknolojia
  ya Habari na Mawasiliano | 
3 | 
Silazima
   | 
| 
EBM
  200 | 
Mbinu
  za kufanya uinjilisti | 
3 | 
Lazima | 
Semista
ya tatu
| 
NAMBA YA KOZI | 
JINA LA KOZI | 
KREDITI  | 
HADHI  | 
| 
EBT
  300 | 
Historia
  ya kanisa,I ( karne za kwanza) | 
2 | 
Lazima | 
| 
EBM
  200 | 
Homiletiksi | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBM
  201 | 
Kanisa
  la seri | 
2 | 
Silazima
   | 
| 
EBT
  301 | 
Theologia
  I | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBT
  302 | 
Usalama  wa Milele | 
3 | 
Silazima
   | 
| 
EBP
  300 | 
Saikolojia
  ya Biblia | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBB
  300 | 
Ufalme
  ulioungana na kugawanyika | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBM
  302 | 
Kristo
  Aliyekiunganishi  | 
2 | 
Silazima
   | 
| 
EBM
  303 | 
Vita
  vya Kiroho  | 
3 | 
Lazima | 
MWAKA
WA PILI
Semista
ya nne
| 
NAMBA YA KOZI | 
JINA LA KOZI | 
KREDITI  | 
HADHI  | 
| 
EBT
  400 | 
Misingi
  ya agano la ki-Mungu | 
3 | 
Silazima
   | 
| 
EBC
  400 | 
Mikakati
  ya mazidisho ya kanisa | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBL
  400 | 
Maono
  ya uongozi | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBM
  400 | 
Kanuni
  za ufundishaji | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBB
  400 | 
Maandiko | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBT
  401 | 
Theologia
  ya Dogmatiki  | 
2 | 
Silazima
   | 
| 
EBT
  402 | 
Nguvu
  ya maombi | 
2 | 
Lazima | 
| 
EBT403 | 
Historia
  ya kanisa II.  (Karne za katikati) | 
2 | 
Lazima | 
| 
EBM  401 | 
Kupokea
  upako wa Roho Mtakatifu | 
2 | 
Lazima | 
Semista
ya tano
| 
NAMBA YA KOZI | 
JINA LA KOZI | 
KREDITI  | 
HADHI  | 
| 
EBT
  500 | 
Uundaji
  wa mitaala  ya elimu ya kikristo | 
3 | 
Silazima
   | 
| 
EBB
  500 | 
Maisha
  ya Daudi | 
2 | 
Silazima
   | 
| 
EBB
  501 | 
Manabii
  Wakubwa | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBL
  500 | 
Kanuni
  za Uongozi wa kiroho  | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBT
  501 | 
Elimu
  ya kikristo  | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBT
  502 | 
 Kubaini mafundisho potofu | 
2 | 
Silazima
   | 
| 
EBL
  501 | 
Usimamizi
  wa raslimali za kanisa | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBT
  503 | 
Maadili
  ya  Kikristo    | 
2 | 
Lazima | 
| 
EBT
  504 | 
Apolojetiksi-
  uteteaji wa imani | 
3 | 
Silazima
   | 
| 
EDTBT
  505 | 
Historia
  ya kanisa III.(Matengenezo ya Kanisa) | 
2 | 
Lazima
   | 
Semista
ya sita
| 
NAMBA YA KOZI | 
JINA LA KOZI | 
KREDITI  | 
HADHI  | 
| 
EBM
  600 | 
Karama
  za Huduma  | 
2 | 
Lazima | 
| 
EBT
  600 | 
Mamlaka
  ya Mwamini | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBM
  601 | 
Wanawake
  katika huduma  | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBM
  602 | 
Malezi
  ya familia za kikristo  | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBM
  603 | 
Huduma
  za watoto na vijana  | 
3 | 
Silazima
   | 
| 
EBT
  601 | 
Sosholojia
  ya Kikristo  | 
2 | 
Silazima
   | 
| 
EBT
  602 | 
Falsafa
  ya dini | 
3 | 
Silazima
   | 
| 
EBB
  600 | 
Manabii
  wadogo | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBT
  603 | 
Historia
  ya Kanisa IV (Tanzania) | 
3 | 
Silazima
   | 
| 
EBT
  604 | 
Theologia
  II | 
3 | 
Lazima | 
Mwaka wa Tatu
Semista
ya Saba
| 
NAMBA YA KOZI | 
JINA LA KOZI | 
KREDITI  | 
HADHI  | 
| 
EBM
  700 | 
Karama
  za Roho mtakatifu | 
3 | 
Lazima
   | 
| 
EBT
  700 | 
Pneumatolojia | 
2 | 
Lazima | 
| 
EBT
  701 | 
Theologia
  III | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBT
  702 | 
Elimu
  ya kichungaji | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBP  700 | 
Ushauri
  na utunzaji wa  kichungaji | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBB
  700 | 
Injili
  zinazofanana | 
3 | 
Silazima
   | 
| 
EBB
  701 | 
Nyaraka
  za kifungoni | 
3 | 
Silazima
   | 
| 
EBT
  703 | 
Historia
  ya wokovu | 
2 | 
Silazima
   | 
| 
EBT
  704 | 
Mtazamo
  wa ki-Mungu juu ya Ulimwengu | 
3 | 
Silazima
   | 
| 
EBL
  700 | 
Misingi
  ya uongozi wa ki-Biblia | 
2 | 
Silazima
   | 
Semista
ya Nane
| 
NAMBA
  YA KOZI | 
JINA
  LA KOZI | 
KREDITI
   | 
HADHI
   | 
| 
EBT
  800 | 
Eskatolojia
   | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBP
  800 | 
Ushauri  kabla ya ndoa | 
3 | 
Silazima
    | 
| 
EBA
  800 | 
Ujasiliamali
   | 
3 | 
Silazima
   | 
| 
EBA
  801 | 
Sayansi  ya jamii | 
3 | 
Siazima
   | 
| 
EBC
  800 | 
Umisheni
  na Mavuno  | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBT
  801 | 
Ndoa
  na familia ya Kikristo  | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBT
  802 | 
Methodolia
  Ya Utafiti Katika Theologia | 
2 | 
Lazima | 
| 
EBM
  800 | 
 Huduma ya  uponyaji | 
2 | 
Lazima | 
| 
EBT
  803 | 
Historia
  ya uamsho | 
2 | 
Silazima
   | 
Semista
ya Tisa
| 
NAMBA
  YA KOZI | 
JINA
  LA KOZI | 
KREDITI
   | 
HADHI
   | 
| 
EBM
  900 | 
Kuwaweka
  mateka huru | 
3 | 
silazima | 
| 
EBT
  900 | 
Kuvunja
  nira ya umaskini | 
2 | 
Silazima | 
| 
EBB
  900 | 
Nyaraka
  za kichungaji  | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBB  901 | 
Danieli
  na ufunuo  | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBB
  902 | 
Waebrania | 
2 | 
Silazima
   | 
| 
EBM
  901 | 
Theologia
  ya matendo | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBM
  902 | 
Kanisa
  linaloongozwa kwa kusudi | 
2 | 
Lazima | 
| 
EBT
  901 | 
Kiini
  cha  Injili  | 
3 | 
Silazima
   | 
| 
EBT
  902 | 
Utafiti
  wa kithiologia | 
3 | 
Lazima | 
| 
EBT
  903 | 
Semina
  ya Kithiologia | 
3 | 
Lazima | 
 
No comments:
Post a Comment