Tuesday 10 June 2014

maombi ya ukombozi



MAOMBI YA UKOMBOZI

UTANGULIZI
Maana ya Ukombozi inaweza kuwa:
·        Kufunguliwa kutoka katika kifungo Fulani
·        Kumtoa pepo mchafu kutoka kwa mtu
·        Kufunga nguvu za giza zinazosababisha uharibifu Fulani
·        Kutoa mapepo kwa aliyepagawa
·        Kuvunja maagano na mikataba iliyofungwa inayowatesa watu
·        Kuvunja vifungo vya shetani
·        Kung’oa mizizi ya mbegu ya uharibifu iliyopandwa na ibilisi
·        Kuondoa mizigo isiyoonekana ambayo watu wamebebeshwa bila kujua.
·        Kuisafisha njia
·        Kuharibu kazi za shetani
·        Kumweka mtu huru kutoka nguvu za shetani
Unaweza ukaendelea kuyataja mengi zaidi. Pia zipo njia za kufanya hivyo ila la msingi ni kuwa kwa uhakika inahusu yafuatayo:
1.     Mtu kufunguliwa na kuishi maisha mapya
2.     Kugundua adua alipojificha
3.     Kumng’oa adua alipojificha
4.     Kung’oa vitu vyote vya adui na kuponya yale yaliyoharibiwa na adui.
5.     Kumfunika mtu kwa ulinzi wa Mungu kusudi adui asiweze kurudi tena.
NJIA ZINAZOTUMIKA
1.     Kuziamuru zijitokeze zilikojificha katika Jina la Yesu – hii inaweze kuchukua muda mwingi.
·        Maombi
·        Nyimbo za Damu ya Yesu  
·        Neno la Ushindi
·        Wakati mwingine kutumia mafuta
2.     Wafungue mapepo; bila fujo kwa kuyaamuru bila mahojiano “Mtoke mtu huyu katika Jina la Yesu” Marko 5:8 – 9;9:25 – 27; Luka 8:27 – 33
3.     Haribu Vifaa vyote vya adui
4.     Toba kwa yale yaliyosababisha kupagawa wewe mwenyewe, wazazi au wengine.
5.     Ikibidi shughulikia mababu – Walawi 26; Daniel 9
6.     Mkatae shetani na kazi zake na dai eneo lote lililotekwa. Ukitafakari uweza uliopo katika  1 Yohana 3:8 inayosema Yesu amekuja kuzivunja nguvu za ibilisi.
7.     Bomoa kila ngome yake iliyokuzunguka.
8.     Jisalimishe kwa Mungu na mkatae shetani. Yak. 4:7
UKOMBOZI
-         Kukomboa
-         Kukinunua tena kitu kilichokuwa chako
Bibilia inaonyesha jinsi ambavyo ukombozi wa wana wa Israel kutoka utumwani Misri ulivyokuwa.
Tendo hilo lilitingisha dunia lakini hata hivyo ilikuwa ni alama tu ya tendo kuu ambalo Mungu alikusudia kwa mwanadamu.
Israel ilikombolewa na Mungu mwenyewe, sio wao waliojikomboa
Mu
Posted by Fredrick Kweka at 2:09 A

No comments:

Post a Comment