Tuesday 16 October 2018

SHAHADA YA UZAMILI KATIKA THEOLOJIA KWA NJIA YA MTANDAO/POSTA master of Theology via online and correspondence


Uongozi wa Elam Christian Harvest Seminari Tanzania iliyoko Mbeya/songwe kwa kushirikiana na Cho cha Great Commision Bible college (USA) unayo furaha kuwatangazia watu wote nafasi za Masomo Ya Theolojia ngazi ya Shahada ya Umahiri/Uzamili. Masomo haya yanawaandaa watumishi wa Mungu katika kwaajili ya kuujenga mwili wa Kristo kwa kuwapa mafunzo ya juu zaidi. Mafunzo ya KiBiblia, kihuduma na Kitheolojia
Mafunzo ni ya miaka miwili.

Masomo haya yanatolewa kwa njia ya Mtandao/posta.
Waombaji ni wahitima wa Stashahada ya Juu, Shahada ya kwanza na Stashahada ya Uzamili katika uanja wa Theolojia na Huduma za Kanisa
Mafunzo yanatolewa kwa lugha ya Kingereza.
gharama za mafunzo
Usajiri ni Tsh, 25,000/=
Ada kwa kila somo ni Tsh,45,000/=
watu wote mnakaribishwa kujiunga na masomo haya
Wako katika Elimu a Kikristo
                                                               Rev.Dr Erick L Mponzi (Th.D)
                                                                 MKURUGENZI MKUU

MASTERS OF THEOLOGY (M.TH)
Master Degrees of Theology require a total of 50 credits beyond a bachelor degree. Students enrolling in a Master program will need to submit an official transcript for their bachelor degree. Master of Theology is a program of two Years of Study which Comprises four Semester.
Theology program offers comprehensive training in Biblical studies, Theology, original languages, ministry, and effective communication designed to equip the next generation of pastor-scholars.
The Master of Theology degree program is designed to produce competent Bible expositors who are qualified to serve God effectively as pastors, missionaries, or leaders in other areas of vocational Christian ministry.

The goal of Master of Theology is to enable students to verbalize a general knowledge of the Bible, including a synthetic understanding of the major book, evidence an understanding of the historical development of theology, knowledge of pre-millennial theology, and an ability to support their theological views and apply
them to contemporary issues, demonstrate the ability to exegete the Hebrew and Greek texts of the Bible, and evidence an understanding of the educational program of the local church and an awareness of the worldwide mission of the church.

Entry qualifications
An applicant of Master of Theology (M. Th) must be a Bachelor Degree holder in Religion field with at least with Lower second Class or Grade (B), or a Holder Postgraduate Diploma in Theology or its equivalent with at least Second Class (B)




COURSE LIST OF MASTER OF THEOLOGY (M.TH)
FIST YEAR COURSES
First Semester
Course   Code
Course Title                                
Credits
  Status
EMT  1000
History of Theology                             
2
Core
EMT 1001
Old Testament Theology
3
Core
EMT 1003
New Testament Theology
3
Core
EMA 1000
Critical Issues in Philosophy
3
Core
EMB 1000
Comparative study of  Bible Translation
3
Core
EMB 1001
Bible Canonization
2                
Core
Second Semester
Course   Code
Course Title
Credits
Core
EMT 2000
Sociology of Religion
2
Core
EMT 2001
Types of Theology
3
Core
EMT 2003
Christian Anthropological Studies/Theology of Human 
3
Core
EMT 2004
Biblical Decision Making
3
Core
EMA 1000
Personality Psychology
3
Core
EMT 2005
Biblical Exegesis
3
Core
SECOND YEAR COURSES
Third Semester
Course   Code
Course Title
Credits
Core
EMT 3000
Biblical Foundation for Christian Ethics
3
Core
EMT 3001
Gods Plan for living church
3
Core
EMT 3002
Pneumatology
3
Core
EMT 3003
Eschatology
3
Core
EMT 3004
Theology Proper
3
Core
Fourth  Semester
Course   Code
Course Title
Credits
Core
EMT 4000
Theology of Parables
3
Core
EMT  4001
Research Methodologies in Theology
3
Core
EMT 4002
Thesis
6
Core









TANGAZO LA MASOMO YA POSTGRADUATE DIPLOMA IN THEOLOGY/ STASHAHADA YA UZAMILI KATIKA THEOLOGIA KWA NJIA YA MTANDAO/INTANETI


 

POSTGRADUATE  DIPLOMA IN THEOLOGY/ STASHAHADA YA UZAMILI KATIKA THEOLOGIA  KWA NJIA YA MTANDAO/INTANETI

Chuo cha Biblia cha Elam Christian Harvest Seminari kwa kushirikiana na Chuo cha Great Cmmission Bible College cha  nchini Marekani Wanawatangazia watu wote nafasi za kujiunga na Masomo ya Theolojia ngazi ya Stashahada ya Uzamili katika Theolojia (Postgraduate Diploma in Theology) kwa njiya ya Mtandao/INTANETI/POSTA
Masomo haya yanatolewa kwa lugha ya kingereza ni ni kozi ya mwaka mmoja.
Waombaji wa kozi hii wanapaswa kwa wahitimu wa ngazi ya Shahada ya kwaza ya elimu ya kawaida (secular education) au  wahitimu wa Stashahada ya Juu ya Theolojia au  inayofanana na hiyo

Baada ya kufuzu programu hii mwanafunzi atakuwa na uwezo wa kuendelea na masomo ya shahada ya uzamili/umahiri katika Theologia au Huduma katika chuo hiki na katika  vyuo vingine vya kidini duniani kote.

Ada ya maombi ya kujiunga na chuo ni Tsh, 25000/=
Ada ya masomo kwa kila somo/kozi ni Tsh, 35,000/=

Watu wote mnakaribishwa ili muweze kuandaliwa kwaajili ya Huduma. Zoezi la kujiunga na masomo ni endelevu linaendelea muda wote. mwanafunzi anaruhusiwa kujiunga na masomo muda wowote.
kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa simu namba 0762532121/0765992774 au tuandikie kwa barua pepe elamseminary@gmail.com



Tangazo hili limetolewa leo tarehe 09/10/2018.

Wako katika Elimu ya Kikristo

                           Rev.Dr. Erick L Mponzi

                          MKURUGENZI MKUU



POSTGRADUATE  DIPLOMA  IN  THEOLOGY (PGDT)        

Postgraduate Diploma in Theology Programme is designed for people holding an undergraduate degree or equivalent in a discipline other than theology, who wish to upgrade their knowledge and skills in this field. This course has been designed to allow people to upgrade their knowledge and skills and also improve professional performance and personal satisfaction.   For students from other disciplines it provides a broad overview of Theology in general. Admission normally requires at least   Lower   second class degree. Also a Advanced Diploma Holder may apply to pursue this course as preparation for doing a master in Theology.

 

Postgraduate Diploma in Theology is A special Course as Preparatory entry in Master of Theology to those people who do not have undergraduate Degree (Bachelor) in Theology or Religious Education. This course is a programme of one year of study. This Program have 60 Credit hours.  In order to qualify to be awarded this  Postgraduate Diploma   a candidate must satisfy all requirements of the Programme.

 

 

COURSE LIST OF POSTGRADUATE DIPLOMA IN THEOLOGY (PGDT)

First Semester

 First Semester Courses

Course Code

Course Title

Credits

EGB 1000

The  Survey of Old Testament

3

EGB 1001

The Survey of New Testament

3

EGT 1000

Foundations of  Faith

3

EGM 1000

Ministries of the Holy Spirit

3

EGT 1002

Systematic Theology             

3

EGT 1003

Church History

3

EGT 1004

Praise and Worship

3

EGA 1000

Personality Psychology

3

Second Semester   Courses

Course Code

Course Title

Credits

EGT 2000

Marriage, family and Christian Life

3

EGT 2001

Biblical Hermeneutics

3

EGM 2000

Homiletics

3

EGL 2000

Biblical Management  Principles

3

EGT  2004

Research Methods in  Christian Theology

3

EGM  2001

Pastoral Theology

3

EGT 2005

Research Methods in  Christian Theology

3

EGT 2006

Research   Project

3