Friday 5 December 2014

JINSI YA KUJIFUNZA BIBLIA

Jinsi ya kusoma Biblia kupitia Maandiko kwa ufasaha
Intensive Care Ministries • P.O. Box 109 • Mentone, CA 92359 • USA • (909) 798-0451 info@icmbible.org •www.icmbible.org
Kimetengenezwa
kwa ajili
Wachungaji na Wanaofanya kazi kanisani
2
KUHUSU KITABU HIKI CHA MWONGOZO
Kitabu hicho cha mwongozo kilitengenezwa na Mchungaji Dan Finfrock kwa
muda wa miaka mingi akifanya kazi na maelfu ya wachungaji pamoja na watenda
kazi Wakristo wengi katika nchi ya Ufilipino. Kimekusidiwa kuwasaidia viongozi
jinsi watakavyojifunza Biblia, bila vitabu vya nje vingine, kama Maelezo ya Biblia
na Biblia yenye Msaada kwa Watu n.k., ambavyo havipatikani katika maktaba za
viongozi wa makanisa katika nchi zinazoendelea.
Kwa kutumia Maandiko Matakatifu yaliyotafsiri vizuri, kila mshiriki atafundishwa
jinsi atakavyochungaza, fafanua na tekeleza Neno la Mungu kwa uangalifu.
Maandiko yatakuwa halisi kupitia mfumo huu unaosisimua na ulioitwa Kuhusisha
Wanaosoma Biblia. Mfumo huo ni mafunzo yanayofaa kujifunza Maandiko
Matakatifu kwa ukamilifu, tena yenye utaratibu.
Kitabu hicho cha mwongozo kimetumika kumfundisha ye yote anayetaka kujifunza
jinsi atakavyosoma Neno la Mungu kwa kufaa. Kinatumika katika nchi nyingi na
kimetafsirika katika lugha zaidi ya ishirini ulimwenguni.
KUHUSU MWANDISHI
Mchungaji Dan Finfrock alilelewa katika Kanisa la Ushirikiano wa Wamisionari
Wakristo kule mji wa Redlands, mkoa wa California, USA. Baadaye akasoma
katika Chuo cha Biblia Simpson cha Ushirikiano huo. Baada ya kuhitimu Chuo
Kikuu cha Redlands, akaanza ku-fanya kazi katika Inter Varsity Christian
Fellowship (yaani Ushirikiano Wakristo katika Vyuo Vingi) kwa muda wa miaka
sita akifundisha ‘Kuhusisha Wanaosoma Biblia’ katika maeneo ya vyuo. Halafu
akaingia kazi ya uchungaji akihudumia katika makanisa sita, tatu ya hayo yalikuwa
makanisa yaliyoanzishwa nao. Kanisa lake la mwisho liliitwa Calvary Chapel
(yaani Kanisa la Kalvari) kule Banning.
Mwaka 1985 Mch Dan alihamia Ufililpino, pamoja na familia yake, akaanzisha
Intensive Care Ministries [ICM kwa kifupi] (yaani Huduma ya Uangalizi). Akaona
kwamba wachungaji wenyeji wanahitaji mafunzo jinsi watakavyosoma Neno.
Mfumo wa Kuhusisha Wanaosoma Biblia umefanya kazi vizuri, tena umefunzwa
kwa haraka. Mwaka 1991, familia yake yote wakarudi USA, na wakati ule akaanza
kazi ya kusambaza mfumo huo katika nchi nyingi nyingine. Urusi ilikuwa eneo
muhimu muda wa miaka minane iliyopita. Sasa ICM ina watenda kazi sita Warusi
wanaofanya kazi katika sehemu mbalimbali. Mch Dan anaishi mji wa Mentone,
California pamoja na mke wake, aitwaye Debbie, na mtoto wa mwisho, anaitwa
Aaron. Wana watoto watatu ambao wameshakua pengine, wanaitwa Nathan, Lela
na Corrie. Mch Dan anasafiri nchi nyingi zinazoendelea.
Imeandikwa tarehe 20 mwezi wa 9, mwaka 1999
3
INTENSIVE CARE MINISTRIES
TAARIFA YA IMANI YETU
1. Tunaamini ya kuwa upendo wa Mungu ni kwa kila mtu na kwa ajili ya upendo
wake, alimtuma Yesu aje duniani na afe msalabani kwa ajili ya dhambi za
wanadamu, na ya kuwa alifufuka siku ya tatu.
KWA HIVYO: Tunatangaza msamaha wa dhambi na Bwana aliyefufuka.
2. Tunaamini ya kuwa maandiko yote yanatokana na Roho ya Mungu huku yakifaa
kwa mafundisho, kuwaonya watu makosa yao, kuwaongoza, kuadhibisha katika
haki, ili mtu wa Mungu awe kamili, apate kutenda kila tendo jema. 2
TIMOTHEO 3:16 na 17.
KWA HIVYO: Tunasisitiza mafundisho ya Neno.
3. Tunaamini ya kwamba Mungu amewainua watu na kuwapa vipawa kwa ajili ya
utayari-shaji wa mwili wa Kristo upate kukua na kufikia ukomavu wa Kristo.
WAEFESO 4: 11-16
KWA HIVYO: Tunawatafuta watu walio na vipawa tukiwaandaa kufundisha
Neno.
4. Tunaamini katika kurudi upesi kwa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo
KWA HIVYO: Tunaenenda na kufanya wanafunzi kwa watu wa mataifa yote
MATHAYO 28:19
5. Tunaamini ya kwamba mwili wa Kristo ni mmoja ijapokuwa kanisa lake lina
matawi, na kwa kazi ya Roho mtakatifu sote tu umoja katika Kristo.
KWA HIVYO: Tunatunza kwa bidii ule umoja wa Roho. WAEFESO 4:3
TAARIFA YA MAONO YETU
Misingi ya huduma hii ya Intensive Care Ministries, imewekwa katika kutayarisha
wachungaji na watenda kazi wa Kristo kwa ajili ya kazi ya utumishi. Malengo yetu
ni mawili: 1) Kuwafundisha jinsi ya kujifundisha Neno na 2) Kuwahimiza walishe
watu wao kwa kujifunza Biblia kwa mpangilio. Maono yetu ni kuzindua ukufunzi
katika nchi kadha wa kadha mpaka tutimize makusudi haya.
4
Kuhusu Semina ……………………………………………………………….5
Vitabu vya Biblia ……………………………………………………………..6
Njia za kujifunza Biblia ………………………………………………………7
Maelezo juu ya
Uchungaji
…………………………………………………………………………………..8
Ufafanuaji
…………………………………………………………………………………..9
Utekelezaji
………………………………………………………………………………..12
Chanzo cha kufundishia Biblia……………………………………………...13
Mazoezi:
1. Usimulizi
…………………………………………………………………………….16
2. Ushairi
………………………………………………………………………………..19
Kujifundisha
Biblia
kwa
Kuzoesha
……………………………….....20
3. Nyaraka
……………………………………………………………………………...25
4. Mashairi
ya
Waebrania
………………………………...…………….……….28
5. Maswali
ya
mazoezi
……………………………………………………….……32
6. Mifano
ya
Yesu
………………………………………………….……………..…36
7. Unabii
…………………………………………………………………………..…….40
Kazi
ya
Mazoezi:
8. Usimulizi/Yohanna
13………………………………………………………..…46
9. Nyaraka-­‐Filemoni…………………………………………………………………49
10. Unabii-­‐Isaya
55…………………………………………………………………….50
Kiambatanisho:
11.Jinsi
kuanzisha
na
kuongoza
mafunzo
ya
Biblia………………………52-­‐61
12.Mfano
wa
wahubiri
ya
ufafanuzi
kwa
kujielezea……………………..62-­‐66
5
Muhtasari Kuhusu Washa
1.
xxxx
xxx
xx
xxx
a. xx
xxxx
xx
b. xxx
xx
xxxx
2.
xx
xxxxx
xxx
xx
x
3.
xxx
xxx
x
xxxx
x
4.
xx
xxxx
xxxxx
xx
Muundo wa
kimaandiko wa Biblia:
1. Usimulizi
2. Nyaraka
3. Mifano
4. Ushairi
5. Unabii
Maudhudhi ya
Vifungu
Uchunguzi Ufafanuzi Utekelezaji
1.
xxx
xx
xxxxx
a. xx
xxxx
b. xxxx
xxx
c. xx
xxxxxx
d. xx
xxx
2.
xxx
xxxxxx
a. xx
xxxx
b. xxx
xxxxx
Xxxxxx
xxx
xx
xxxx
Xxxxxxx
xx
xx
xx
xxx
xxxx
xxx
x
xxx
xxxx
xx
xxxx
xxxx
x
xxxx
x
xxx
x
xxxx
x
x
xxxx
x
xxxxxx
xxx
x
xxx
Xx
xxxx
xxxxxx
xx
xxx
xxxx
x
xxxx
xx
x
xxxx
x
xxx
x
xxx
xx
x
xxxxxx
x
xx
Xx
xxxx
xxxxx
x
x
xxxxx
xx
xxxx
x
xx
x
xxxx
Mahubiri

Maudhudhi
Maswali
ya
unchunguzi
1.
xxxx
xxx
xx
xxx
a. xx
xxxx
xx
b. xxx
xx
xxxx
2.
xx
xxxxx
xxx
xx
x
3.
xxx
xxx
x
xxxx
x
4.
xx
xxxx
xxxxx
xx
1.
xxxx
xxx
xx
xxx
c. xx
xxxx
xx
d. xxx
xx
xxxx
2.
xx
xxxxx
xxx
xx
x
3.
xxx
xxx
x
xxxx
x
4.
xx
xxxx
xxxxx
xx
Hotuba
Mafunzo
ya
Biblia
6
Mwanzo
Kutoka
Mambo
ya
Walawi
Hesabu
Kumbukumbu
La
Torati
Yoshua
Waamuzi
Ruth
I Samweli
II Samweli
I Wafalme
II Wafalme
I Mambo ya
Nyakati
II Mambo
ya nyakati
Ezra
Nehemia
Esta
Isaya
Yeremia
Maombolez
Ezekieli
Danieli
Hosea
Yoeli
Amosi
Obadia
Yona
Mika
Nahumu
Habakuki
Sefania
Hagai
Zekaria
Malaki
Mathayo
Marko
Luka
Yohana
Matendo
Ya
Mitume
Warumi
I, II Wakorintho
Wagalatia
Waefeso
Wafilipi
Wakolosai
I, II Wathesalonike
I, II Timotheo
Tito
Filemoni
Waebrania
Yakobo
I, II Petro
I, II, III Yohana
Yuda
Ufunuo
Ayubu
Zaburi
Mithali
Mhubiri
Wimbo
Ulio
Bora
Mhubiri
Wimbo
Ulio
VITABU VYA BIBLIA
Funza
Biblia
nzima.
Kumbuke
ujumbe
wa
mwisho
wa
Paulo
kwa
wazee
wa
Efeso, “Kwa
kuwa
sikuwaficha
kuwaambiani
ushauri
wote
wa
Mungu.”
Mdo
20:27
7
Mbinu za
Kujifundisha
Biblia
Njia
tatu
zinazotumika
zaidi
katika
kujifundisha
Biblia
ni:
 Utafiti – “Kuonyesha mambo ya asili”
 Utafutaji – “Kuanza kwa dhana iliyoko”
 Mada Inayohusiana – “Kushirikiana
maoni yaliyoko”
KUMBUKA!
“Fuatilia
Utaritibu”-­-­-­-­-­-­-­
“Fuatilia
Wazo”
8
Uchunguzji
Ufafanuzi Utekelezaji
Maana
ya
Je, Kifungu kinasema nini?
 Soma kifungu zaidi ya mara moja
 Nakili fikira za kwanza unazopata
 Andika(nakili)ya kuwa inahusu
Nani, Nini, Lini na Wapi
9
Maana
ya
Uchunguzaji Ufafanuzi
Utekelezaji
Je, Kifungu kina maana gani?
 Chambua kifungu kinenavyo
 Jifunzie katikati ya maneno
yaliyomo katika kifungu
 Andiko lifafanue andiko lingine
 Agano jipya lipewe utangulizi
10
Maelekezo zaidi ya ufafanuzi.
Ni lazima tufuate maelekezo fulani tukitaka kufahamu Neno la Mungu sawa sawa. Ingawa kufuata
maelekezo mengine haitatuhakikishia uamuzi barabara, kuyapuuza husababisha upotovu.
Yafuatayo ni baadhi ya masharti ya kwanza;
I. FAFANUA UJUZI WAKO KIMAISHA KWA MAANDIKO: USIFAFANUE
MAANDIKO KWA UJUZI WAKO.
Watu wanapotumia ujuzi wao wa kimaisha kufafanua maandiko ndio ujuzi kwa mamlaka
kamili kwao. Neno la Mungu ni kamilifu na maisha yetu yamo mamlakani mwa maandiko.
Mkristo anapotaka wengine kwa jumla waenende katika njia iliyomfaa yeye binafsi, ndipo
anapoingia katika hatari ya kukaidi kanuni, licha ya kuwa ni tekelezo la amri ya Biblia. Mfano
mzuri ni mtu yule aliyekataa tabia ya kununua chochote kwa njia za mkopo. Mtu huyu
alifaulu sana kuacha tabia hiyo lakini alianza kuwalaumu waliokuwa na hati za deni na
kununua kati ya muda uliotolewa akisema hivyo ni kukaidi agizo la Biblia (Rum 13:8). Hali
hii ni ya mtu mmoja anayefafanua maandiko kwa ujuzi wake, huku akihalalisha ujuzi kuwa
kamili badala ya maandiko.
II. USIANDAMANE NA SHAURI UKAACHANA NA MAANDIKO.
Katika sura zake nyingi Biblia haikati shauri. Jihadhari kuena zaidi ya Biblia inenavyo.
Katika mambo ya binafsi, hasa mitindo ya mavazi, viwango vya maisha au maongozi kanisani
ni lazima mtu akate shauri ingawa maandiko hayaneni hayo. Tunaweza kufuata maoni yetu
lakini tusiwaonee wenye maoni mbali na yetu. Tunahitaji kuwapenda wenye maoni
mbalimbali.
III. ELEWA KAMA KIFUNGU NI FANANISHO AU NI HALISI.
Imetupasa kuchukua kifungu kuwa mfano Biblia inaponena hivyo. Mara nyingi Biblia
huonyesha ya kwamba kifungu ni fananisho au halisi pia. Wagalatia 4 inanena mlima Sinai
kuwa alama ya ufungwa, na Yerusalemu ni alama ya neema. Kijographia panaponenwa ni
halisi na ni fananisho za ukweli wa kiroho pia. Tena kifungu ni fananisho ikiwa maneno
yaliyomo ni ya sifa za kando na zile za kitu kinacho nenewa. Kwa mfano kifungu fananisho
panapolinganishwa kitu kisicho hai na mtu au kingine chenye uhai katika Injili ya Yohana,
inaonyesha Yesu ameonakana kuwa ni ‘mlango’, ‘mkate’, ‘maji’, n.k. haya yote ni maneno ya
unafanishi. Wafilipi 3:2 Paulo anaonya “Jihadharini na mbwa”, yaani wale wapotoshi
wanaofundisha kwamba ni lazima kutahiriwa katika wokovu. “Mbwa” ni fananisho. Yesu
anasema hakika (Luka 13:32) “nendeni mkamwambie yule mbweha.” yaani Herode. Huu ni
ufananishi.
11
Mara nyingine eneo lililotumika kwa mfano, linaweza kuwa na maana mbalimbali katika Biblia.
Kwa mfano ‘simba’ katika 1 Pet 5:8 inasema Shetani; bali katika Ufunuo 5:5 inanena juu ya
Yesu Kristo. Kama kawaida maana ya mfano itapatikana katika kifungu kamili.
Neno moja haliwezi kuwa halisi na fananisho kwa wakati mmoja. Neno la mstari linaposemwa
kuwa fafanisho huwa limezidi maana yake halisi. Ikiwa ufafanuzi halisi unafaa basi lifafanuliwe
hivyo, isipokuwa kifungu kikionyesha kwamba haiwezekani.
IV. USIFAFANUE MAANDIKO KWA MAWAZO YA ELIMU YA KISASA.
Tusijaribu kufafanua maandiko kwa kutumia falsafa na maswala ya utafiti wa kisasa. Mawazo
hayo hubadilika muda unaoendelea. Biblia hata hivyo, haibadiliki milele. Kwa miaka mingi
wanahistoria wamekejeli Biblia kwa sababu haukupatikana ushahidi wa utafiti (archaeology) wa
taifa la Wahiti linalotajwa. Katika Biblia lilikuwepo. Hapo katika mwaka 1907, watafiti
waligundua ushahidi, yaani matofali fulani, huko Uturuki, yaliyo thibitisha kuwepo kwa taifa la
Wahiti.
Haipasi sisi kuomba radhi kwa ajili ya maneno ya Biblia yasiyodhibitishwa kisayansi au
kufafanua maandiko tena ili kuyaatia maana inayodhibitishwa na utafiti wa kisasa. Kwa sababu
Biblia ni Neno la Mungu na ni kweli halisi; kila muujiza na kila neno yapaswa kusadikika.
V. Wanapojaribu kuupata “ukweli wa kiroho” katika kila mstari, wengi huingiza shauri la kweli
ndani ya kifungu, ambalo limepatikana kwa njia isiyo sahihi. Mtu anapotumia njia isiyofaa
kufikia uamuzi wa kweli, ataweza kujidanganya kwamba ataitumia isivyofaa.
Kwa mfano, Matendo ya Mitume mlg 28 imesema jinsi Paulo alivyopona kwa muujiza baada ya
kuumwa na nyoka yenye sumu. Anayetafuta maana ya kiroho anaweza kusoma, hivi au yule
nyoka ndiye Shetani anayeshambulia watauwa, lakini kila anapojaribu hushindwa.
Ushauri huu huenda ikawa ni kweli na ni fundisho kutoka kifungu kingine cha maandiko, bali
Matendo 28 haifundishi hivyo. Hii ni njia potovu ya kushughulikia Neno la Mungu.
12
Maana
ya
Uchunguzaji Ufafanuzi Utekelezaji
Ni jinsi gani nitakavyoitika?
 Je, kuna mifano gani nitakayo ifuata?
 Je, kuna dhambi nitakayoacha?
 Je, ni makosa gani nitakayoepuka?
 Je, ni ahadi gani nitakazoamini?
 Je, ni amri gani nitakazotii?
 Je, ni matendo gani nitakayoyatenda?
13
CHANZO
CHA
KUJIFUNZA
BINAFSI
Miundo Miundo
Usimulizi
Miundo ya Maagizo
na maonyo
(nyaraka)
Miundo ya Mashairi,
Mifano, Ufunuo wa
kinabii.
Historia – nakala ya
matukio kama vile
Injili Matendo,
Kutoka, Walawi,
Hesabu, n.k. na
Wafalme.
Ukuuzaji wa fundisho kwa
welekevu – Nyaraka za Paulo:
Wagalatia, Warumi, Tito n.k.
Maandiko ya Petro Yohana,
Yakobo, na baadhi ya nakala
za mafundisho ya Yesu.
Mpango wa mawazo kwa
mbindo. Walitumia mifano na
fani kufikisha wazo. k.v.
Zaburi, Wimbo ulio Bora
Isaya, Yeremia, na mifano ya
Yesu n.k.
Sifa kuu za
miundo
Watu, mahali,
matukio na hisia
Mawazo, maneno, viarifa
mafunzo, malengo na
mipango ya vifungu
Angalia alama inayowakilisha
jambo, fananisha, au
inayolinganisha.
Lugha ya picha
Uliza
 Nani?
 Nini?
 Lini?
 Wapi?
 Vipi?
Eleza tena (tukio)
hadithi
Tafuta uhusiano kati
ya wahusika.
Jaribu kushika hisia
zao.
Jiweke katika nafasi
ya wahusika.
Vifaa vya
Msingi:
kwa
Unaona nini?
unahisia nini?
unafikiri nini?
Faharisi ukuuzaji wa mawazo
katika kifungu.
Angalia mawazo
yaliyorudiwa.
Tafuta:
Vilinganishi
Vibainishi
Maunganishi k.v.
 Kwa hivyo
(ndiposa)
 Ili kwamba
 Kwa sababu
 Kwa ajili
 Hapo
Kila neno ni muhimu katika
kufahamu kifungu kizima
Washairi wa kiebrania
walitumia mdufya yaani wazo
moja likiwasilishwa kwa njia
mbili tofauti.
Methali ni msemo ambamo
tabia ya mwana damu
imelinganishwa na kiumbe cha
asili. k.v.. Methali 5:3
Mfano ni muundo wa fasihi
aliyotumia Yesu kuficha
ukweli kwa watu wasiotaka
kusikia neno.
Ufunuo wa unabii husemea
mafunuo yatokayo kwa
Mungu kuhusu matukio
yajayo au yaliyopo sasa.
14
CHANZO CHA KUJIFUNZA BINAFSI (kuendelea)
Vifaa vya msingi:
kwa
Vifaa vya ufafanuzi ni vile vile katika miundo yote mitatu.
Ni jaribio la kufafanua maana ya kifungu kwa wasikiaji wa kwanza.
1. Mwandishi anamaanisha nini kuandika alivyofanya?
 Ona
 Hisi
 Fikiri
2. Kwa nini anayaandika haya?
3. Ilikuwa na maana gani katika wakati na desturi zao?
Baadhi ya vifaa ni bora vinapotuumika kwa miundo wa maagizo na maonyo.
a Kwa nini wazo hili linatumika?
b Kwa nini mwandishi amelitumia?
c Je, angeweza kutumia neno lingine?
d Je lina maana gani?
e Ni uhusiano gani ulioko kati ya hili wazo na yale yalitotangulia?
f Sura nzima ni ya muhimu kuliko yote.
Vifaa vya msingi:
kwa
Vifaa vya utekelezaji ni vile vile katika miundo yote mitatu
1. Mwombe Roho Mtakatifu mafundisho 1Kor 2:9-16
2. Tekeleza dondoo muhimu maishani mwako k.v.
Je, kuna mfano ninaoweza/tunaoweza kuiacha?
Je, kuna dhambi ninahitaji/tunahitaji kuiacha?
Je, kuna makosa ninapaswa/tunayopaswa kuepuka?
Je, kuna ahadi ninayopaswa/tunayopaswa kuiamini?
Je, kuna amri ninapaswa/tunapaswa kuitii?
3. Sasa nini?
Ninapanga kufanya nini kuhusu haya?
Ni tofauti gani haya yataleta maishani mwangu?
Ni mipango gani hasa ninayoweza kufanya maishani?
Nitafanya nini?
Nitafanya
jinsi
gani?
15
MAZOEZI
16
Zoezi la Kwanza-Masimulizi Hali za Kibiblia
Vifungu Vya Usimulizi
Viko vitabu vingi katika maandiko vilivyoandikwa kwa muundo
wa usimulizi. Hadithi hizi zinaeleweka kwa urahisi. Katika Agano
la Kale hadithi inajumlisha Torati (Mwanzo – hadi Kumbukumbu
la Torati) na vitabu vya historia, kama Yoshua hadi Esta.
Vinajumlisha kutoka katika Agano Jipya, Injili zote na Matendo.
Kwa haya mazoezi ya kwanza, utahijika kujibu maswali yenye
uhusiano na kifungu. Maswali hayo yametengenezwa kuonyesha
mfano wa maswali ya kushawishi. Katika mazoezi yatafuata haya,
yakuwa ya kuunda maswali ya kushawishi.
ZOEZI :1
1. Soma kifungu (Marko 2:1-12) zaidi ya mara moja. Chukua
muda kukichunguza kwa makini.
2. Jibu maswali yaliyo katika ukurasa unaofuatia. Hakikisha
umemaliza zoezi. Usipoteze muda mwingi kwenye swali moja.
17
Zoezi la Kwanza-Masimulizi Hali za Kibiblia
MARKO 2:1 – 12 (Kifungu)
1. Akaingia Karpenaumu tena, baada ya siku kadha wa kadha, ikasikiwa ya
kwamba yumo nyumbani.
2. Wakakusanyika watu wengi, isibaki nafasi hata mlangoni, akawa akisema nao
neno lake.
3. Wakaja watu wakimletea mtu mwenye kupooza, anachukuliwa na watu wanne.
4. Na walipokuwa hawawezi kumkaribia kwa sababu ya makutano, waliitoboa dari
pale alipokuwapo na wakiisha kuivunja wakalitelemsha godoro alilolilalia yule
mwenye kupooza.
5. Naye Yesu alipoiona imani yao, akamwambia yule mwenye kupooza,
Mwanangu, umesamehewa dhambi zako.
6. Na baadhi ya waanndishi waliokuwako huko, wameketi, wakifikiri mioyoni
mwao.
7. Mbona huyu anasema hivi? Anakufuru. Ni nani awezaye kusamehe dhambi
isipokuwa mmoja ndiye Mungu?
8. Mara Yesu akafahamu rohoni mwake kwamba wanafikiri hivyo nafsini mwao
akawaambia, Mbona mnafikiri hivi mioyoni mwenu?
9. Vyepesi ni vipi, kumwambia mwenye kupooza, Umesamehewa dhambi zako au
kusema Ondoka ujitwike godoro lako, uende?
10. Lakini mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya
kusamehe dhambi (hapo akamwambia yule mwenye kupooza)
11. Nakuambia, Ondoka, ujitwike godoro lako uende nyumbani kwako.
12. Mara akaondoka, akajitwika godoro lake, akatoka mbele yao wote hata
wakastaajabu wote, wakamtukuza Mungu, wakisema, Namna hii hatujapata
kuona kamwe.
18
Zoezi la Kwanza-Masimulizi Hali za Kibiblia
Maswali yanayohusu Marko 2:1-12
Uch. 1. Ni watu ganii waliotajwa katika hadithi hii?
Uch. 2. Katika hii je, Yesu alikuwa wapi wakati huo?
Uch. 3. Ni nini kilichotendeka? Eleza hadithi yote kwa maneno yako.
Ufa. 4. Ni nini baadhi ya shida za kimwili za mtu aliyepooza?
Uch. 5. Ni ugumu gani angepata akitaka kufika kwa Yesu?
Ufa. 6 a.) Hawa watu wanne walikuwa wa namna gani?
Ufa. 6 b) Kwa nini hakukata tamaa?
Ufa. 6 c) Yesu alisema juu ya imani ya nini wakati huu?
Ufa. 7. Kwa nini Yesu alisema “mwanangu dhambi zako zimesamehewa?”
Ufa. 8. Waandishi wanauliza nini kuhusu maneno haya ya Yesu?
Ufa. 9. Yesu alianza kijibu maswali yao wakati gani?
Ufa. 10. Soma mstari 9-11 tena. Ni lipi rahisi kusema? Kwa nini?
Ufa. 11. Ni mambo gani yaliyoko tunapolinganisha dhambi na kupooza?
Ufa. 12. Mtu aliyepooza ni kama nini hasa?
Ufa. 13. Kristo huwatendea nini wenye dhambi?
Ute. 14.a) Je unayo imani ya kembeba mtu aliyepooza kwa kristo.
Ute. 14.b) Orodhesha njia mwafaka za kufanya hivyo.
Ute. 15. Orodhesha baadhi ya njia za kuponyesha nakuwajali wenye dhambi.
Ute 16. Unawezaje kufaya kazi pamoja na wengine kuleta watu kwa Yesu.
WEWE NI MJUMBE KWA WATU. KUMBUKA KWAMBA DHAMBI
HUPOOZA.
19
Zoezi la Pili -Ushairi Hali za Kibiblia
Ushairi
Mashairi ya Kiebrania yamejazwa lugha ya mifano (isiyo
halisi). Lugha hii huwasilisha mawazo kupitia matamshi ya
maneno na semi zinazoumba picha kwa msomaji.
Alama ya kutofautisha ushairi wa Kiebrania na mengine ni ule
uambatanishaji wa mfanano wa mstari kwa ule ufuatao au sura
kwa ile ifuatayo. Marudio ya mawazo (maoni) kwa kurudia
rudia husaidia kulea aliyomaanisha mwandishi. Tutachunguza
baadhi uambatanishaji wa aina mbali mbali katika mazoezi ya
baadaye.
Katika mazoezi haya, utaweza kujifunza ushairi rahisi. Kwanza
unapaswa kujua vifaa viwili muhimu utakavyotumia katika
kujifunza Biblia (IBS). Vifaa hivi ni kuorodhesha maudhui
kufaharisi na kuunda vyanzo.
20
KUJIFUNZA BIBLIA KWA NJIA YA UTAFITI
KUCHANGANUA KIFUNGU CHA BIBLIA
Wazo kuu.
Kuchanganua waraka.
Kuchanganua Miundo mingine.
MPANGANGILIO WA KIFUNGU
Cha Biblia kwenye Jedwali
Wazo kuu
Mfano wa kupangalia kifungu cha Biblia kwenye Jedwali
1. KUCHANGANUA: Kusudi la kuchanganua ni kuchunguza kifungu kwa makini.
Kuna njia mbali mbali ya kuchanganua kusudi lake hasa ni kugawanya yale mawazo yaliyotolewa.
Ni lazima kila wazo litengwe ili lifahamike barabara. Hapa tunajifunza njia mbili
(2) za kuchanganua.
A. Njia “rahisi” ya kuchanganua inayoweza kutumika kwa kitabu chochote cha
Biblia.
B. Kuchanganua “Nyaraka” inayorahisisha kazi ya nyaraka.
A. MPANGILIO RAHISI. Muundo huu ni rahisi kutumika kwa kurahisisha kitabu
chochote cha Biblia. Unapitia kifungu cha Biblia kwa nia ya na kutafuta wazo/ mawazo
yanayoongelewa.
Kwanza, kuangalia wazo, linapoanzia na kuamalizikia kifungu. Zifuatazo ni hatua za
kimsingi za faharisi chunganuo.
HATUA 1 Andika kwa ufupi juu ya kiini cha kifungu.
HATUA 2 Orodhesha dondoo ya kifungu ukiambatanisha mistari yake katika
kifungu.
Kila unapochanganua fuata utaratibu wa mstari kwa mstari.
21
(MIFANO YA MCHANGANUO RAHISI)
ZABURI 128
KIINI: Kumcha Bwana ni vema.
I. Matokeo ya kumcha Bwana Mst. 1 – 4
II. Matokeo ya furaha Mst. 5 – 6
EZRA
KIINI: Marejeo Ya Ujenzi wa Hekalu
I. Marejeo ya ujenzi chini ya usimamizi wa Zerubabeli Sura 1 – 6
A. Mateka wa kwanza warejea Sura 1 – 2
B. Marejeo ya ujenzi wa Hekalu Sura 3 – 6
II. Mageuzi chini ya uongozi wa Ezra Sura 7 – 10
A. Mateka wa pili warejea Sura 7:1 –8:32
B. Maguzi “ Marejeo ya ujenzi wa watu (taifa)” Sura 8:33 – 10:44
22
B. UCHANGANUZI WA NYARAKA. Nyaraka nyingi zimeandikwa zikifuata utaratibu wa
mawazo, kama iandikwavyo barua (isipokua Waebrania na 1 Yohana). Unaposoma nyaraka
angalia utangulizi wa barua hiyo – salamu zilizo hapo mwanzo (pengine hufuatwa na sehemu
ya shukrani). Haya hufuatwa na kusudi la kuandika, mafundisho makuu na kumalizia.
1. Utangulizi. Mistari ya kwanza michache ya kifungu ni utangulizi na salaamu. Haya
pengine hufuatwa na sehemu ya shukrani.
2. Kusudi la Kuandika. (Kwa nini barua inaandikwa?) Mara nyingi kusudi la kuandika
barua huelezwa mistari miwili au mitatu. Kwa kawaida ni fupi na hufuata utangulizi
(yaani salamu na shukrani) . Tafuta kwa uangalifu habari hii kwa sababu ndicho
kifunguo cha barua.
3. Fundisho maalum. Moyo wa waraka unapatikana hapa. Utapata kwamba mawazo
mbalimbali au masomo yatakuzwa kwa vifungu vinavyofuata. Pengine wazo huwekwa
katika mistari michache au sura moja au zaidi. Kumbuka – si lazima sura au mgao wa
mistari katika Biblia zetu ziwe mgao sahihi wa mawazo. Tafuta mawazo kwa mfano
katika waraka mmoja mst. 5-10 inanena juu ya upendo, mst. 11-16, juu ya hukumu au
furaha n.k.
4. Kufunga (kumaliza). Kila mara kifungu humaliza mawazo yakufunga pengine
tunayatumia makanisani mwetu kama salamu za kuagana.
(MFANO WA UCHANGANUZI WA WARAKA)
TIT O
I.
UTANGULIZI
Sura
1:1-­‐4
Paulo
akimwandikia
Tito
A.
Sura
1:1-­‐4
Salamu
B.
(Hakuna)
Shukrani
II.
KUSUDI
LA
KUANDIKA
Sura
1:5
Mawili

Kutekeleza
mpango
wa
hudumu
(Sababu
ya
Kuandika)
makanisani
na
kuwachagua
viongozi
wazee
III.
FUNZO
KUU
Sura
1:6-­‐3:14
Kuwachagua
wazee
na
kuweka
mwongozo kanisani
Mawazo matatu makuu:
i. Sura 1:6-16 Wazee. Hatima na kazi zao.
ii. Sura 2:1,3:11 Wajibu wa Kikristo kanisani na Mafundisho
iii. Sura
3:12

14
Mambo
ya
kibinafsi
IV
KUFUNGA
Sura
3:15
23
UCHUNGUZAJI (UCH)
(Sema maneno yaliyomo
kwenye kifunguni maneno na
mawazo muhimu)
UFAFANUZI (UFA)
(Eleza maana hapa)
UTEKELEZAJI (UTE)
(Tekeleza kwa jumla na kwa
umoja)
1.) Wazo mst 1-2 mistari
Hii ni utangulizi wa kitabu
Mst
1
Paulo
na
Timotheo
Mtumishi wa Yesu Kristo
Kwa watenda katika Yesu
Kristo
Mst 2 Amani na Neema
2.) Wazo Mst 3-6
Hii mistari ni ya kujumlisha
kusudi la barua hii.
Mst 4 Maombi na Furaha
Karibu nyaraka zote zinao
utangulizi
Paulo ndiye mwandishi wa
kifungu hiki lakini anahushisha
jina la Timotheo;
Paulo anatambua ya kuwa yu
hai kumtumikia Yesu
Paulo anawaandikia
walioamini. Mtakatifu si
sanamu bali ni mtu aliyezaliwa
mara ya pili
Maneno yaliyotumika katika
kusalimiana na yamo katika
nyaraka zote za Paulo.
Neema

kibali
cha
Mungu
Amani

uhuru
mbali
na
hofu
na
fedheha
mioyoni
mwetu
Paulo anayofuraha si kwa
sababu ya hali iliyo mazingira
bali ni kazi ya Kristo maishani
mwake.
Tekeleza kwa kuonyesha yale
utakayotenda uliojifunza
-­‐Mtatenda
nini?
-Utatendaje?
Mimi/sisi tunataka kumtumikia
Yeus Kristo. Tutafanya nini?
1. Kuzaa nia ya utumishi
2. Fundisha shule ya Jumapili
3. Jitoa kusaidia kanisani
Mimi ni mtakatifu kwa sababu
Yesu yuko maishani mwangu.
Kwa hivyo nitaishi kitakatifu
kwa maisha ya Kikristo.
Nina neema na amani ya
Mungu katika maisha yangu.
Haipasa mimi niishe kwa hofu.
Neema na amani yainisha
maisha yangu
Ninaweza kufurahi licha ya
mazingira yangu kwa ajili ya
kazi ya Kristo maishani
mwangu
II.
KUTENGENEZA
JEDWALI.
Ukiisha
changanua
kifungu,
uko
tayari
kukigawanya
zaidi
kwa
kuchanja.
Mchanganuo
hutumika
kuangalia
kifungu
kwa
mtambo
wa
UCHUNGUZAJI,
UFAFANUZI,
na
UTEKELEZAJI
(IBS).
Chukua
kila
sehemu
ya
changanuzi
mstari
kwa
mstari
ukinakili
maneno,
misemo
na
mawazo
katika
kifungu
kizima.
(Yafuatayo
ni
mfano
wa
jinsi
inavyotayarishwa)
WAFILIPI 1:1 – 6
24
Zoezi la Pili -Ushairi Hali za Kibiblia
Zoezi: 2
1. Soma Zaburi sura ya kwanza (1) mara zaidi ya moja.
2. Changanua kifungu ukitumia changanuzi rahisi.
3. Unda chanzo cha kifungu kwa kutumia uchanganuzi.
Zaburi 1
1) Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki: Wala hakusimama
katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.
2) Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari mchana
na usiku.
3) Naye atakuwa kama mti uliopandwa, Kandokando ya vijito vya maji, Uzaao
matunda yake kwa majira yake, Wala jani lake halinyauki; Na kila alitendalo
litafanikiwa.
4) Sivyo walivyo wasio haki; Hao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.
5) Kwa hiyo wasio haki hawatasimama hukumuni, Wala wakosaji katika
kusanyiko la wenye haki.
6) Kwa kuwa BWANA anajua njia ya wenye haki, Bali njia ya wasiohaki itapotea.
25
Zoezi la Tatu –Nyaraka Hali za Kibiblia
Waraka
Katika zoezi hili utachunguza waraka ukitumia vifaa vya msingi
kufaharisi na kuchanja. Rejelea mambo uliojifunza ya ufaharisi
na uchanjaji (uk 18-21).
Zoezi: 3
1. Soma kifungu (Yuda) mara kadhaa.
2. Changanua kifungu ukitumia faharasa ya nyaraka (kama
ilivyoonyeshwa, ukurasa 20).
3. Gawa kifungu kama (ilivyonyeshwa ukurasa wa 21).
26
Zoezi la Tatu –Nyaraka Hali za Kibiblia
YUDA
1) Yuda, mtumwa wa Yesu Kristo, ndugu yake Yakobo, kwa hao walioitwa walipendwa katika
Mungu Baba, na kuhifadhiwa kwa ajili ya Yesu Kristo.
2) Mwongezewe rehema na amani na upendano.
3) Wapenzi nilipokuwa nikifanya bidii sana kuwaandikia habari ya wokovu ambao ni wetu sisi sote,
naliona imenilazimu kuwaandikia, ili niwaonye kwamba mwishindanie imani waliokabidhiwa
watakatifu mara moja tu.
4) Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii,
makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye peke yake Mola, na
Bwana wetu Yesu Kristo.
5) Tena napenda kuwakumbusha, ijapokuwa mmekwisha kujua haya yote, ya kwamba Bwana, akiisha
kuwaokoa watu katika nchi ya Misri, aliwaangamiza baadaye wale wasioamini.
6) Na malaika wasiolinda enzi yao wenyewe, lakini waliyaacha makao yao yaliyowahusu,
amewaweka katika vifungo vya milele chini ya giza kwa hukumu ya siku ile kuu.
7) Kama vile Sodoma na Gomora, na miji iliyokuwa kando-kando, waliofuata uasherati kwa jinsi
moja na hawa, wakaenda kufuata mambo ya mwili yasiyo ya asili, imewekwa kuwa dalili,
wakiadhibiwa katika moto wa milele.
8) Kadhalika na hawa, katika kuota kwao, huutia mwili uchafu, hukataa kutawaliwa na kuyatukana
matukufu.
9) Lakini Mikaeli, malaika mkuu, aliposhindana na Ibilisi, na kuhojiana naye wa ajili ya mwili wa
Musa, hakuthubutu kumshitaki kwa kumlaumu, bali alisema, Bwana na akukemee.
10) Lakini watu hawa huyatukana mambo wasioyajua, na mambo wayatambuayo kwa asili wajiharibu
kwayo kama wanyama wasio na akili.
11) Ole wao! Kwa sababu walikwenda katika njia ya Kaini, na kulifuata kosa la Balaamu pasipo
kujizuia kwa ajili ya ujira, nao wameangamia katika maasi ya Kora.
12) Watu hawa ni miamba yenye hatari katika karamu zenu za upendo walapo karamu pamoja nanyi,
wakijilisha pasipo hofu; ni mawingu yasiyo na maji, yachukuliwayo na upepo; ni miti
iliyopukutika, isiyo na matunda, iliyokufa mara mbili, na kung’olewa kabisa;
13) Ni mawimbi ya bahari yasiyozuilika, yakitoa aibu yao wenyewe kama povu; ni nyota zipoteazo,
ambao weusi wa giza ndio akiba yao waliowekewa milele.
14) Na Henoko mtu wa saba baada ya Adamu, alitoa maneno ya unabii juu ya hao, akisema, Angalia,
Bwana alikuja na watakatifu wake, maelfu kwa maelfu,
27
Zoezi la Tatu –Nyaraka Hali za Kibiblia
15) Ili afanye hukumu juu ya watu wote, na kuwaadhibisha wote wasiomcha Mungu, kwa ajili ya kazi
zao zote za upotevu walizozitenda bila kumcha Mungu, na kwa ajili ya maneno magumu yote
ambayo hao wenye dhambi wasiomcha Mungu wameyanena juu yake.
16) Watu hawa ni wenye kunung’unika, wenye kulalamika, waendao kwa tamaa zao, na vinywa vyao
vyanena maneno makuu mno ya kiburi, wakipendelea watu wenye cheo kwa ajili ya faida.
17) Bali ninyi, wapenzi, yakumbukeni maneno yaliyonenwa zamani na mitume wa Bwana wetu Yesu
Kristo.
18) Ya kwamba waliwaambia ya kuwa, Wakati wa mwisho watakuwako watu wenye kudhihaki,
wakizifuata tamaa zao wenyewe za upotevu.
19) Watu hao ndio waletao matengano, watu wa dunia hii tu, wasio na Roho.
20) Bali ninyi, wapenzi mkijijenga juu ya imani yenu iliyo takatifu sana, na kuomba katika Roho
Mtakatifu.
21) Jilindeni katika upendo wa Mungu, huku mkingojea rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo, hata
mpate uzima wa milele.
22) Wahurumieni wengine walio na shaka.
23) Na wengine waokoeni kwa kuwanyakua katika moto; na wengine walihurumieni kwa hofu,
mkilichukia hata vazi lililotiwa uchafu na mwili.
24) Yeye awezaye kuwalinda ninyi msijikwae, na kuwasimamisha mbele ya utukufu wake bila mawaa
katika furaha kuu.
25) Yeye aliye Mungu pekee, Mwokozi wetu kwa Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu una yeye, na
ukuu, na uwezo, na nguvu, tangu milele, na sasa, na hata milele. Amina.
28
Zoezi la Nne –Ushairi Hali za Kibiblia
ZOEZI: 4
1. Soma kifungu (Zaburi 139) mara tena.
2. Changanua kifungu ukitumia mifano rahisi.
3. Gawanya kifungu.
4. Eleza aina ya mfanano inayotumika. Mfanano zaidi ya aina moja
zinazoweza kupatikana katika kifungu kimoja (Angalia ukurasa
29 kwa maelezo zaidi).
MASHAIRI YA KIEBRANIA
I.
MWONGOZO: TUMIA MIFANANO YA USHAIRI WA KIEBRANIA
KUPATA MAANA YA KIFUNGU
A. Mashairi yamejaa lugha ya mifano, kwa hivyo lazima tujifundishe kufahamu
maana ya lugha isiyo halisi au ya “picha”
B. Alama inayobainisha ushairi wa Kiebrania ni uambatanisho wa mawazo
(mfanano) kati ya mstari mmoja na ule unaofuata au sehemu moja na ile
inayofuata (ANGALIA: sehemu ya uchanganuzi).
C. Ushairi wa Kiebrania umetumia marudiorudio. Hayo ni ya umuhimu mkuu
katika kufahamu maana yake.
29
Zoezi la Nne –Ushairi Hali za Kibiblia
II. AINA TATU ZA MSINGI ZA MARUDIORUDIO YA MAWAZO ZA
USHAIRI WA KIEBRANIA.
A. MFANANO FANANISHI – Dondoo yaweza kuletwa mara ya pili au ya
tatu katika njia inayokaribiana.
MFANO: Sikieni sayti yangu … sikilizeni usemi wangu Mwanzo 4:23
Unioshe … unitakase Zaburi 51:2
B. RUDUFU YA NYONGEZI – Mshairi huongeza kwa lile wazo la
kwanza.
MFANO: ZABURI 1:1
Kila semi katika mstari inaongezea juu ya wazo la awali. Kuenenda
njiani pa wasio haki ni hatua ya kwanza; kusimama pamoja na wenye
dhambi ni kuzidi ubaya; na kukaa pamoja na wenye mzaha ni jumia ya
ubaya wote.
C. RUDUFU YA BAINISHI: Mshairi akibainisha wazo moja na lingine.
MFANO: Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri; bali vinywa
vya wapumbavu humwaga upumbavu (Methali 15:2)
Usemi wapili kwa kawaida huleta kinyume cha wazo katika usemi wa
kwanza.
30
Zoezi la Nne –Ushairi Hali za Kibiblia
ZABURI 139
1) Ee Bwana, umenichunguza na kunijua.
2) Wewe wajua kuketi kwangu na kuondoka kwangu; Umelifahamu wazo langu
tokea mbali.
3) Umepepeta kwenda kwangu na kulala kwangu, Umeelewa na njia zangu zote.
4) Maana hamna neno ulimini mwangu Usilolijua kabisa, BWANA.
5) Umenizingira nyuma na mbele, Ukaniwekea mkono wako.
6) Maarifa hayo ni ya ajabu, yanishinda mimi, Hayadirikiki, siwezi kuyafikia.
7) Nienda wapi nijiepushe na roho yako? Niende wapi niukimbie uso wako?
8) Kama ningepanda mbinguni, Wewe uko; Ningefanya kuzimu kitanda changu,
Wewe uko.
9) Ningezitwaa mbawa za asubuhi, Na kukaa pande za mwisho za bahari;
10) Huko nako mkono wako utaniongoza, Na mkono wako wa kuume utanishika.
11) Kama nikisema, hakika giza litanifunika, Na nuru inzungukayo ingekuwa
usiku;
12) Giza nalo halikufichi kitu, Bali usiku huangaza kama mchana; Giza na
mwanga kwako ni sawasawa.
13) Maana Wewe ndiye uliyeniumba mtima wangu, Uliniunga tumboni mwa
mama yangu.
14) Nitakushukuru kwa kuwa nimeumbwa Kwa jinsi ya ajabu ya kutisha.
Matendo yako ni ya ajabu, Na nafsi yangu yajua sana,
15) Mifupa yangu haikusitirika kwako, Nilipoumbwa kwa siri, Nilipoungwa kwa
ustadi pande za chini za nchi;
31
Zoezi la Nne –Ushairi Hali za Kibiblia
16) Macho yako yaliniona kabla sijakamilika; Chuoni mwako ziliandikwa zote
pia,
17) Mungu, fikira zako zina thamani nyingi kwangu; Jinsi ilivyo kubwa jumla
yake!
18) Kama ningezihesabu ni nyingi kuliko mchanga; Niamkapo nikali pamoja
nawe.
19) Ee Mungu, laiti ungewafisha waovu! Enyi watu wa damu ondokeni kwangu;
20) Kwa maana wakuasi kwa ubaya, Adui zako wakutaja jina lako bure.
21) Je! Bwana nisiwachukie wanaokuchukia? Nisikirihike nao wanaokuasi?
22) Nawachukia kwa ukomo wa chuki, Wamekuwa adui kwangu.
23) Ee Mungu unichunguze uujue moyo wangu, Unijaribu, uyajue mawazo
yangu;
24) Uone kama iko njia iletayo majuto ndani yangu, Ukaniongoze katika njia ya
milele.
32
Zoezi la Tano –Masimulizi Hali za Kibiblia
ZOEZI: 5
1. Soma kifungu (Mark 6:45 – 52) Zaidi ya mara moja.
2. Gawanya habari.
3. Jaribu kuuliza maswali mengi iwezekanavyo ya uchunguzaji ufafanuzi
na utekelezaji, halafu uangalie ni yapi yatakayowasaidia wahusika
kupitia kifungu kwa njia ya utaratibu. Ni muhimu kuuliza maswali
yatakayo leta mtiririko mzuri katika kifungu.
4. Andika maswali yako kufuatana na utakavyouliza. Kando ya kila
swali weka, alama (CHU) kwa uchunguzaji, (FAF) kwa ufafanuzi na
(UTE) kwa utekelezaji.
5.
Kuunda Maswali ya Kushawishi
Unapojifunza kuandika maswali ya kujizoesha, unajifunza ujuzi. Kama utendaji wa
aina zote, ujuzi wako wa kutengeneza maswali utaongezeka unapofanya kazi. Hatua
kuu ya kwanza iliyo bora ni kufululiza uchunguzi wa kifungu kwa mtindo mojawapo.
Kwa njia ya maswali yako, kikundi cha Biblia kitagundua uliyoyapata. Uchunguzi wa
juu juu huleta maswali na mjadala hafifu bali uchunguzi sawasawa utawafanya
wahusika kukabili kweli zilizo katika fungu wakielekezwa kwa Mungu na njia zake.
Matokeo ya aina hii yastahili muda na bidii ya uchunguzi kwa uangalifu.
I. Soma ukijifikiria mwenyewe kwanza: Je Mungu anataka kunifundisha nini?
Kisha fikiria juu ya wenzako, tutafaidi nini katika maisha yetu tunaposoma
pamoja?
II. Unapomaliza kujifundisha, angalia chanzo chako na uweke alama mambo
muhimu utakayohakikisha yamehusishwa.
33
Zoezi la Tano –Masimulizi/Maswali Hali za Kibiblia
III. Kutengeneza Maswali.
Maswali yako yahitaji kuongoza kikundi kwenye wazo kuu la fungu ili
watambue mambo muhimu na wayatekeleze maishani mwao. Ni ya muhimu
kukumbuka aina ya kikundi kinachofanya masomo haya; waumini,
wachanga, waliokomaa zaidi, vijana, wazee n.k. Kikundi hakiwezi kwenda
katika kudadisi jinsi ulivyofanya; maswali yako yatachukulia mambo ya
msingi n.k. uliopata katika matayarisho uliyofanya.
A. Anza kipindi kwa maswali wafahamishe yote yaliyo katika fungu
zima. (Ni nani ananenewa? Wapi? Ni nini wanachofanya? n.k.).
B. Kwa maswali waongoze kutoka mwanzo hadi mwisho wa fungu kwa
utaratibu. Labda ungependa kuwafundisha sehemu kwa sehemu,
mnapoendelea, wafikishe kujua jinsi beti zinavyoungana.
C. Utataka kuuliza Maswali ya Uchunguzaji (mambo ya kweli.)
Maswali kuhusu Ufafanuzi (maana)
Maswali ya Utekelezi (utendaji).
1. Maswali ya Uchunguzaji.
• Kikundi kitahitaji kuona yaliyomo.
• Kwa njia tofauti acha kikundi kione nani, nini, lini, wapi.
• Wanaweza kusimulia baadhi ya watu au matukio.
• Wasaidie kuingia “katika” tukio, wahusishe kisa na mazungumzo
au wafanye igizo kuhusu Efeso ya karne ya kwanza, wakiupokea
waraka wa mtume Paulo.
• Ongoza kikundi katika kufahamu muundo uliyoupata: Ni nini
tofauti kati ya uchunganuzi na utendaji.
2. Maswali ya Uchambuzi
• Peleka kikundi katika kufafanua na kuuliza kwa nini ili wazipate
kweli kuu.
• Watahitaji ufafanuzi wa semi na maneno.
• Wasaidie kuona sababu iliyo nyuma ya miundo (uliza maswali
yanayotokana na ufafanuzi wako). Hii ni njia ya kuwaonyesha
muungano wa beti tofauti).
• Wanapoipata kweli kuu maswali yako yatakuwa ya kuwasaidia
kuelewa.
34
Zoezi la Tano –Masimulizi Hali za Kibiblia
3. Maswali ya Utekelezi (Utendaji)
• Haya maswali hufanya kikundi kufikiria na kufanya mabadiliko
katika maisha – nia, uhusiano na matendo yao.
• Maswali ya utendaji yanahitaji kutiririka kutoka kwa maana ya
mawazo kuu na yanatokea baada ya mawazo hayo kueleweka.
Kumbuka kuwa ni jambo kuwa na maswali machache ya aina hii
katika sehemu mbali mbali za fungu kuliko mengi.
Marko 6:45–52
45) Mara akawalazimisha wanafunzi wake wapande mashuani, watangulie
kwenda ng’ambo hata Bethsaida wakati yeye alipokuwa akiwaaga mkutano.
46) Hata alipokwisha kuagana nao akaenda zake mlimani kuomba.
47) Na kulipokuwa jioni, mashua ilikuwa katikati ya bahari, na yeye yu peke
yake katika nchi kavu.
48) Akawaona wakitaabika kuvuta makasia, kwa maana upepo ulikuwa wa
mbisho; hata ilipopata kama zamu ya nne ya usiku akawaendea, akitembea
juu ya bahari, akataka kuwapita.
49) Nao walipomwona akitembea juu ya bahari, walidhani ya kuwa ni kivuli,
wakapiga yowe.
50) Kwa kuwa wote walimwona, wakafadhaika. Mara akasema nao,
akawaambia, Changamkeni, ni mimi, msiogope.
51) Akapanda mle chomboni walimo; upepo ukakoma; wakashangaa sana
mioyoni mwao.
52) Kwa maana hawakufahamu habari za ile mkate, kwa sababu mioyo yao
ilikuwa mizito.
35
Zoezi la Tano –Masimulizi Hali za Kibiblia
“Uch” Uchunguzaji “Ufa” Ufafanuaji “Ute” Utekelezaji
Wazo: 1 -
Mst 1
Mst 2
- uchunguzaji
- uchunguzaji
- uchunguzaji
- uchunguzaji
- uchunguzaji
Wazo: 2 -
Mst 3
n.k.
- uchunguzaji
F
Fafanuzi za uchunguzi
hapa
- fafanuzi
- fafanuzi
Utendaji hapa.
- Nifanye nini?
- Nifanyeje?
(Toa mifano)
(Separate Sheet of Paper)
Orodha ya maswali kutoka chanzoni.
Wazo 1 la Faharasa/chanzo.
Uch
1. Uchunguzi (Ni nani aliyehusika, walifanya nini n.k.?)
Uch
2.
Uchunguzi (Walikuwa wapi?)
Uch
3.
Uchunguzi (Nini kilitokea?)
(Baada ya maswali machache uliza maswali mawili au moja ya ufafanuzi.)
Ufa 4. Ufafanuzi (Yesu alisema nini?)
Ufa 5. Ufafanuzi (Paulo alimaanisha nini aliposema…?)
(Baada ya maswali haya ni vyema kuuliza maswali ya utendaji yanatokana na
majibu yake.)
Ute 6. Maswali ya utendaji (Majibu no orodha ya vitendo ya kutenda k.v.
Nitafanya nini nipate kuwa kama Yesu?)
Ute 7. Maswali ya matendo (Nitachukua hatua gani?)
(Endeleza
kufanya
kazi
hii
ukitumia
chanzo
chako
kwa
fungu
lote,
wazo
kwa
wazo,
mstari
kwa
mwingine..)
Kila
swali
yafaa
kuwa
“UCH”,
“UFA”,
ama
“UTE”
(kama
kwenye
somo
la
5)
Kutengeneza chanzo cha maswali ya Kuzoeza.
Kutokana na chanzo ulichotengeneza, kuza maswali kutoka kila aya. Hii kazi hasa
ni ya ‘kujibu’ maswali yako. Kwa maneno mengine, habari zilizomo katika aya
zinapaswa kuenda pamoja na maswali uliyoandika.
Juu ya kuuliza na
maswali
Orodhesha maswali
taratibu k.v. ukiyakuza
kutoka kwa chanzo na
kifungu tayari.
Maswali yawe rahisi, safi
ya kupeleka watu kwenye
fungu kwa majibu.
Maswali yalete mjadala
unaokuza ufahamu wa
fungu.
Maswali yanapaswa kuwa
na mtiririko took wazo
moja hadi lingine
Maswali yaweza kujibika
katika fungu yaani uweze
kujibu swali lako
Kuza
maswali
ya
uchunguzaji
kutoka
katika
ubeti
wake
maswali
ya
ufafanuzi
na
maswali
ya
utendaji
vile
vile
36
Zoezi la Sita –Mifano Hali za Kibiblia
Zoezi: 6
1. Soma fungu (Marko 4: 1 – 20) mara kadhaa.
2. Faharisi fungu kwa faharasa rahisi.
3. Pata dondoo kuu inayosisitizwa katika mfano.
4. Chanja kifungu ukitumia Faharasa. Uwe makini wa kufafanua
mfano ukitumia maelezo ya kifungu (yakiwemo).
5. Tayarisha maswali yako ya uchunguzi, ufafanuzi na utendaji.
Mifano (Ya Yesu)
Mfano ni hadithi fupi inayotumia mfano halisi ya maisha ya kila
siku kuonyesha ukweli wa kiroho. Yesu mara nyingi alifundisha
kwa mifano na ni ya muhimu sana sisi kufahamu ufasaha huu wa
kipekee. Yesu alipofundisha kwa mifano alikuwa na kusudi la
ziada. Alitaka kuuficha ule ukweli mbali na watu waliokataa
wito, huku akiweka wazi mbele yao wanaoitikia.
Angalia kwamba, ingawa matukio ya historia yanaweza kupata
matamshi ya kuonyesha, mifano ya Yesu ilikuwa hadithi maalum
zilizoundwa kwa kusudi la kufundisha ukweli fulani. Ingawa
kwa ufafanuzi wake, mfano si nakala ya matukio ya historia, na
kuwa mfano ni lazima uwe kwa maisha ya kila siku.
37
Zoezi la Sita-Mifano Hali za Kibiblia
KUNA MAMBO MANNE YANAYOHITAJIKA KATIKA
KUFAHAMU MIFANO.
1. Anza na yaliyomo ndani ya kifungu:
a) Ni hali gani inayoleta usimulizi wa hadithi hii (Lk 15:1 – 2)
b) Ni maelezo gani ya maana ya mfano? (Lk 15:7 na 10)
2. Tambua jambo kuu linalosisitizwa:
Angalia yaliyomo kifunguni kabla na baada ya mfano.
a) Luka 15:4 Kondoo mmoja aliyepotea
b) Luka 15:8 – 10 Sarafu moja iliyopotea.
3. Tambua jambo lisilomuhimu
Mambo ambayo hayatumiki kufundisha ukweli.
a) Luka 15:4 Kondoo 99 salama.
b) Luka 15:8 Sarafu 9 salama
4. Tambua jambo muhimu
Mambo ambayo makusudi yake ni kufundisha ukweli. Fulani,
yatakayojengwa kwenye dondoo kuu (mwana mpotevu – alipotea bali sasa
amepatikana).
38
Zoezi la Sita-Mifano Hali za Kibiblia
MARKO 4:1-20
1) Akaanza kufundisha tena kando ya bahari. Wakamkusanyikia mkutano
mkubwa mno, hata yeye akapanda chomboni, akakaa baharini; mkutano wote
ulikuwako juu ya nchi kavu kando ya bahari.
2) Akawafundisha mambo mengi kwa mifano, akawaambia katika mafundisho
yake,
3) Sikilizeni; Tazama mpanzi alitoka kwenda kupanda;
4) Ikawa alipokuwa akipanda, mbegu nyingine ilianguka kando ya njia, wakaja
ndege wakaila.
5) Nyingine ikaanguka penye mwamba, pasipokuwa na udongo mwingi; mara
ikaota kwa kuwa na udongo haba;
6) Hata jua lilipozuka iliungua, na kwa kuwa haina mizizi ikanyauka.
7) Nyingine ikaanguka penye miiba; ile miiba ikamea, ikaisonga, isizae matunda
8) Nyingine ikaanguka penye udongo ulio mzuri, zikazaa matunda, zikamea na
kukua, na kuzaa, moja thelathini, moja sitini, na moja mia.
9) Akasema, aliye na masikio ya kusikilia, na asikie.
10) Naye alipokuwa peke yake, wale watu waliomzunguka, na wale Thenashara,
walimwuliza habari za ile mifano.
11) Akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuijua siri ya ufalme wa Mungu, bali kwa
wale walio nje yote hufanywa kwa mifano,
12) ILI WAKITAZAMA WATAZAME, WASIONE;
NA WAKISIKIA WASIKIE, WASIELEWE; WASIJE WAKAONGOKA, NA
KUSAMEHEWA.
39
Zoezi la Sita-Mifano Hali za Kibiblia
13) Akawaambia, Hamjui mfano huu? Basi mifano yote mtaitambuaje?
14) Mpanzi huyo hulipanda neno.
15) Hawa ndio walio kando ya njia, lipandwapo neno; nao wakiisha kusikia,
mara huja Shetani, akaliondoa lile neno lililopandwa mioyoni mwao.
16) Kadhalika na hawa ndio wapandwao penye miamba, ambao kwamba
wakiisha kulisikia lile neno, mara hulipokea kwa furaha;
17) Ila hawana mizizi ndani yao, bali hudumu muda mchache; kasha ikitokea
dhiki au udhia kwa ajili ya lile neno, mara hujikwaa.
18) Na hawa ndio wale wapandwao penye miiba; ni watu walisikiao lile neno,
19) Na shughuli za dunia, na udanganyifu wa mali, na tamaa za mambo
mengine zikiingia, hulisonga lile neno, likawa halizai.
20) Na hawa ndio waliopandwa penye udongo ulio mzuri; ni watu walisikiao
lile neno na kulipokea, na kuzaa matunda mmoja thelathini, mmoja sitini,
na mmoja mia.
40
Zoezi la Saba-Unabii Hali za Kibiblia
Zoezi: 7
1. Soma kifungu (Isaya 1:1- 31) urudie mara tena.
2. Fahirisi kifungu (tumia faharasa rahisi).
3. Pambanua aina ya unabii wa kila wazo katika faharasa.
4. Pata kumcha nabii.
5. Chanja kifungu ukitumia faharasa uliyotayarisha.
6. Tayarisha faharasa ya mahubiri utakayotumia kufafanua kifungu. Chukua
wazo la kwanza na ulijengee mstari juu ya mstari. Sema wazo linalotangulia a
ufafanue kila mstari unaochangia. Huenda utahitaji kufafanua maneno na semi
katika kifungu ulichunguza fafanua na kutekeleza. Enenda kwenye wazo
linalofuata ulijenge nalo pia. Fikiria hadithi na onyesho linaloweza kutumika
kuleta wazo hilo.
Unabii
Unabii unapatikana katika Biblia tangu Mwanzo mpaka Ufunuo.
 Katika idadi ya mistari 23,210 ya Agano la Kale, mistari 6,641
(karibu 28%) ni mambo ya utabiri.
 Katika idadi ya mistari 7,194 ya Agano Jipya, mistari 1,711
(karibu 21%) ni mambo ya utabiri.
 Kwa hiyo, katika idadi ya mistari 32,124 ya Biblia nzima,
mistari 8,352 (karibu 27%) ni mambo ya utabiri.
Ikiwa katika maandiko yanapatikana mambo mengi hivi ya utabiri, inamaanisha ya
kwamba unabii umepewa nafasi muhimu na Mungu.
41
Zoezi la Sita –Unabii Hali za Kibiblia
I. Hatua ya kwanza ya Mwanafunzi wa Biblia yeyote yule ni kutambua aina ya unabii
anaosoma.
Kuna aina mbili za unabii:
A. UTABIRI – usemao mambo yatakayotokea wakati wa usoni na
B. BUSARA – unaohusu itikadi, maadili na elimu ya Mungu
Baadhi ya unabii umechanganya hayo mawili. Katika Zekaria 1:1 – 15 ni
wa busara bali maoni yanayofuata ni utabiri (1:16 – 21). Sehemu kubwa ya
Zekaria 7 ni ya busara, bali sehemu zinazotangulia na zinazofuata ni utabiri.
Unabii, hata hivyo, ni utabiri kwa wingi.
II. Haya ni baadhi ya maelekezo ya kujifunza unabii na utabiri.
A. LUGHA HALISI – kabili kifungu kwa maana yake iliyo rahisi, ya moja
kwa moja na kawaida ikiwa hakuna sababu ya kufanya lingine. Mstari ya
utabiri imepaswa kuchukuliwa jinsi ilivyo kama hakuna sababu ya
kuelewa kama mfano. Kila mara angalia maana rahisi ya moja kwa moja,
yaani unavyonena ndivyo anavyomaanisha.
B. LUGHA FANANISHI. Jifunze kutambua mafungu yenye mifano, lakini
ufuate masharti ya kawaida ya kutofuatisha kati ya lugha rahisi na ya
mifano.
1. Baadhi ya lugha ni ya mifano na kuhalisisha ni dinikozo. Kwa mfano
Yoeli 2:31 – mwezi ukigeuka kuwa damu; Isaya 11:1 shina linalotoka
katika mwanadamu; Zekaria 4:7 – mlima ukiondoshwa.
2. Haya maonyesho tutayaita “lugha ya picha”, jinsi tuonavyo katika
Danieli, simba mwenye mbawa, chui mwenye mabawa manne n.k.
3. Lengo hasa ni kupambanua yanayoainishwa na picha, kwa sababu kile
kitu kinachoonyeshwa kwenye picha kitatukia kihalisi katika historia.
Mfano: Danieli 7:17 – wale wanyama wanne walimaanaisha wafalme
wanne watakao inuka duniani; Yohana 2:19 utabiri wa Yesu wa
hekalu,” nitaliharibu hili hekalu na katika siku tatu kuliinua tena,”
maelezo yake ni Kristo anasema juu ya hekalu la mwili wake.
42
Zoezi la Saba –Unabii Hali za Kibiblia
C. TAHADHARI
Kutambua aina ya unabii katika baadhi ya mafungu ni vigumu.
Mfano: Amosi 9:13 – 15. Kuna alama ya kuwa fungu hili ni picha. Lakini
lazima tuanze kuchukulia utabiri kuwa halisi. Utabiri huu kwa wingi ni
picha na inatupasa kujifunza kutofautisha kati ya hayo mawili.
D. Unabii unahusu yaliyopita, yaliyopo na yajayo. Mara kwa mara unabii
haufuati mpangilio wa mawazo. Kifungu huweza kuruka toka wazo moja
hadi lingine, au toka wakati mmoja hadi mwingine.
ISAYA 1:1 –31
1) Haya ni maono ya Isaya, mwana wa Amozi, aliyoyaona katika habari za Yuda
na Yerusalemu, siku za Uzia na Yothamu na Ahazi na Hezekia, wafalme wa
Yuda.
2) Sikieni enyi mbingu, tega sikio, Ee nchi, wa maana BWANA amenena.
Nimewalisha watoto na kuwalea, nao wameniasi.
3) Ng’ombe amjua bwana wake
Na punda ajua kibanda cha bwana wake.
Bali Israeli hajui, watu wangu hawafikiri.
4) Ole wake, taifa lenye dhambi, watu wanaochukua mizigo ya uovu, wazao wa
watenda mabaya, watoto wanaoharibu, wamemwacha BWANA,
wamemdharau yeye aliye Mtakatifu wa Israeli, wamefarakana naye na kurudi
nyuma.
5) Mbona mnataka kuigwa hata sasa, hata mkazidi kiasi? Kichwa chote ni
kigonjwa, moyo wote umezimia.
6) Tangu wayo wa mguu hata kichwani hamna uzima ndani yake, bali jeraha na
machubuko na vidonda vitokavyo usaha; havikufungwa, havikuzongwazongwa,
wala havikulainishwa kwa mafuta.
7) Nchi yenu ni ukiwa, miji yenu imeteketezwa kwa moto; nchi yenu, wageni
wameila mbele ya macho yenu, nayo ni ukiwa, kana kwamba imeangamizwa
na wageni.
43
Zoezi la Saba-Unabii Hali za Kibiblia
8) Na binti Sayuni ameachwa kama kibanda katika shamba la mizabibu, kama
kipenu katika shamba la matango, kama mji uliohusuriwa.
9) Kama BWANA wa majeshi asingalituachia mabaki machache sana,
tungalikuwa kama
Sodoma, tungalifanana na Gomora.
10) Lisikieni neno la BWANA enyi waamuzii wa Sodoma, tegeni masikio
msikie sheria ya Mungu wetu, enyi watu wa Gomora.
11) Huu wingi wa sadaka zenu mnazonitolea una faida gani? Asema BWANA,
Nimejaa mafuta ya kafara za kondoo waume, na mafuta ya wanyama
walionona; nami siifurahi damu ya ng’ombe wala ya wana-kondoo wala ya
mbuzi waume.
12) Mjapo ili kuonekana mbele zangu, ni nani aliyetaka neno hili mikononi
mwenu, kuzikanyaga nyua zangu?
13) Msilete tena matoleo ya ubatili; uvumba ni chukizo kwangu; mwezi mpya
na Sabato; kuita mkutano; siyawezi maovu hayo na makutano ya ibada.
14) Sikukuu zenu za mwezi mpya na karamu zilizoamriwa, nafsi yangu
yazichukia; mambo hayo yanilemea; nimechoka kuyachukua.
15) Nanyi mkunjuapo mikono yenu, nitaficha macho yangu nisiwaone; naam
mwombapo maombi mengi, sitasikia; mikono yenu imejaa damu.
16) Jiosheni, jitakaseni; ondoeni uovu wa matendo yenu usiwe mbele za macho
yangu; acheni kutenda mabaya;
17) Jifunzeni kutenda neema; takeni hukumu na haki; wasaidieni walioonewa;
mpatieni yatima haki yake; mteteeni mjane.
18) Haya, njooni tusemezane, asema BWANA. Dhambi zenu zijapokuwa
nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama
bendera, zitakuwa kama sufu.
19) Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi;
44
Zoezi la Saba-Unabii Hali za Kibiblia
20) Bali kama mkikataa na kuasi mtaangamizwa kwa upanga; maana kinywa
cha BWANA kimenena haya.
21) Mji huu uliokuwa mwaminifu umekuwaje kahaba! Yeye aliyejaa hukumu
ya haki; haki ilikaa ndani yake, bali sasa wauaji!
22) Fedha yako imekuwa takataka, divai yako imechanganywa na maji.
23) Wakuu wako ni waasi, na rafiki za wevi; kila mtu hupenda rushwa hufuata
malipo; hawampatii yatima haki yake, wala maneno ya mjane
hayawawasili.
24) Kwa hiyo, asema Bwana, BWANA wa majeshi, Mwenye enzi, wa Israeli,
Nitapata faraja kwa hao wanipigao, nitatwaa kisasi kwa adui zangu;
25) Nami nitakuelekezea wewe mkono wangu, na kukutakasa takataka zako
kabisa, na kukuondolea bati lako lote;
26) Nami nitarejeza upya waamuzi wako kama walivyokuwa hapo kwanza, na
washauri wako kama hapo mwanzo; baada ya hayo utaitwa, Mji wa haki,
mji mwaminifu.
27) Sayuni itakombolewa kwa hukumu na waongofu wake kwa haki.
28) Lakini kuharibika kwao wakosao nao wenye dhambi kutatokea wakati
mmoja, nao wamwachao BWANA watateketezwa.
29) Kwa maana watatahayarika kwa sababu ya mialoni mliyoitamani, nanyi
mtaaibishwa kwa sababu ya bustani mlizozichagua.
30) Maana mtakuwa kama mwaloni ambao majani yake yakauka na kama
bustani isiyo na maji.
31) Na mtu hodari atakuwa kama makumbi, na kazi yake kama cheche za moto;
nao watawaka pamoja wala hapana atakayewazima.
45
Zoezi la Saba-Unabii Hali za Kibiblia
MFANO
Changanuo ya ujumbe wa kuchambua
(Zaburi 1 kwa mfano)
 UTANGULIZI – Kuwavutia wasikilizaji wako na maelekezo ya ujumbe wako.
1) Toa muhtasari wa fungu k.v. mazingira, wakati n.k.
2) Eleza kiini cha fungu – ukitumia maonyesho yanayohusisha kiini hiki katika maisha ya kisasa.
Mfano: Hii ni Zaburi ya maelekezo iliandikwa na mshairi asiyejulikana kuhusu njia mbili za
maisha…zikiwekwa kwetu kama kauli – ili tuweze kufuata njia ya haki iletayo furaha.
 MAUDHUI – Ndiyo moyo wa ujumbe ukifuata mchanganuo, kutoka kwenye sehemu ya
“maudhui” (sehemu za uchanganuzi) kama wazo kuu. Tumia “maelezo” ya mstari mmoja au
miwili katika kila sehemu ya faharasa kusisitiza wazo kuu lililotokana na uchunguzaji, ufafanuzi
na utekelezaji katika vyanzo tayari. Tumia maonyesho na mifano kusanifu dondoo na
kuipatanisha na wazo kuu (kiini). Angalia mfano (rudi kwa majibu ya Zaburi 1).
I. Amebarikiwa mtu yule mst 1 – 3: Mistari hii inaeleza juu ya mtu mtumwa (jinsi alivyo,
anavyotenda na anavyofanyika kuwa. Mst 1 yeye “amebarikiwa” yaani mwenye ujuzi wa
furaha ya kweli (ndani, rohoni), “asiyekwenda…hakusimama…hakuketi hujiepusha na
vikundi vya watenda maovu (mfano hasa wa marudiorudio ya kiebrania) na badala yake yeye
hupendezwa na neno. Yeye ni kama mti uliopandwa kando kando ya vijito vya maji, kuleta
picha ya aina ya lishe ni ufanisi Mungu anaowapa watu wake.
II. Mtu asiyehaki mst 4 – 6: Sivyo walivyo wasio haki yaani mambo yanayohusu watu wasio
watauwa mst 4. Hawapendezwi na sheria ya BWANA. Huku watauwa wakiwa kama miti ya
Matunda iliyoona dhamani, wasio haki ni kama makapi. Yapeperushwayo kwa upepo, yasiyo
na thamani katika hesabu ya Mungu.
Mst 5 – 6 tunasoma juu ya masaibu yatakayowapata wasio haki mbali na maisha ya msomi ya
mwishoni ya wenye haki.
 KUMALIZA: Hapa ujumbe wetu unakaribia mwisho kwa kuchanganya mawazo yote katika
kiini na mafunzo tukitekeleza kwa ujumla wake kwa kutumia mifano na maelekezo vile vile
ilivyosemwa na kufundishwa katika ujumbe.
Mfano: Hebu tupate kuwa na shauku ya neno la Mungu, na baraka anazopata mwenye haki
zituhimize kumtafuta Mungu, kushiriki ana neno lake pamoja na hao waliopotea n.k.
ANGALIA: Mawazo yote, au dondoo kuu, maudhui ya mistari mifano na maonyesho yanapaswa
kuhusiana na kiini – kusisitiza na kufanya ionekane kwa urahisi na kwa jinsi ya kueleweka.
46
Kazi ya
Mazoezi
Level 3
47
Zoezi la Nane-Usimilizi Hali za Kibiblia
Zoezi: 8
1. Soma mistari (Yohana 13:1-20) mara nyingi (soma mara tatu).
2. Jibu maswali ya Kuhusisha Ukurasa wa 46.
Yohana 13:1-20
1) Basi, kabla ya Sikukuu ya Pasaka Yesu, hali akijua ya kuwa saa yake imefika, atakayotoka
katika ulimwengu kwenda kwa Baba, naye ali amewapenda watu wake katika ulimwengu,
aliwapenda upeo.
2) Hata wakati wa chakula cha jioni, naye Ibilisi amekwisha kumtia Yuda, mwana wa Simoni
Iskariote, moyo wa kumsaliti.
3) Yesu, hali akijua ya kuwa Baba amempa vyote mikononi mwake, na ya kuwa alitoka kwa Mungu
naye anakwenda kwa Mungu.
4) Aliondoka chakulani, akaweka kando mavazi yake, akatwaa kitambaa, akajifunga kiunoni.
5) Kisha akatia maji katika bakuli, akaanza kuwatawadha wanafunzi miguu, na kuifuta kwa kile
kitambaa alichojifunga.
6) Hivyo yuaja kwa Simoni Petro. Huyo akamwambia, Bwana! Wewe wanitawadha mimi miguu?
7) Yesu akajibu, akamwambia, Nifanyalo wewe hujui sasa, lakini utalifahamu baadaye.
8) Petro akamwambia, wewe hutanitawadha miguu kamwe. Yesu akamwambia, Kama
nisipokutawadha , huna shirika nami.
9) Simoni Petro akamwambia, Bwana, si Miguu yangu tu, hata na mikono yangu na kichwa changu
pia.
10) Yesu akamwambia, yeye aliyekwisha kuoga hana haja ila ya kutawadha miguu, bali yu safi mwili
wote, nanyi mmekuwa safi, lakini si nyote.
11) Kwa maana alimjua yeye atakayemsaliti, ndiyo maana alisema, si nyote mlio safi.
12) Basi alipokwisha kuwatawadha miguu, na kuyatwaa mavazi yake, na kuketi tena, akawaambia,
Je! Mmeelewa na hayo niliyowatendea?
13) “Nyinyi mwaniita, Mwalimu, na Bwana, nanyi mwanena vema, maana ndivyo nilivyo”.
14) “Basi ikiwa mimi, niliye Bwana na Mwalimu, nimewatawadha miguu, imewapasa vivyo
kutawadhana miguu ninyi kwa ninyi.
15) “Kwa kuwa nimewapa kielelezo, ili kama mimi nilivyowatendea, nanyi mtende vivyo.”
16) Amini amini, nawaambia ninyi, mtumwa si mkuu kuliko Bwana wake, wala Mtume si mkuu
kuliko yeye aliyempeleka.
17) 17) “Mkiyajua hayo heri ninyi mkiyatenda.”
18) “Sisemi habari za ninyi nyote, nawajua wale niliowachagua, lakini andiko lipate kutimizwa.
Aliyekula chakula changu, ameniinulia kisigino chake.
19) 19) “Tangu sasa nawaambia kabla hayajatukia, ili yatakapotukia mpate kuamini ya kuwa mimi ndiye.
20) “Amini, Amini, nawaambieni, yeye ampokeaye mtu yeyote nimpelekaye, anipokea mimi, naye
anipokeaye mimi ampokea yeye aliyenipeleka.
48
Kazi ya Kuchagua #1-inaendelea Yohanna 13:1-20
Maswali ya Kuhusisha
O Uch 1. Ni nani hao watu waliohusika kwenye hii hadithi?
O Uch 2. Ni tukio gani lililota kutokea?
I Ufa 3. Karamu ya Pasaka ni nini?
O Uch 4. Elezea kwa maneno yako mwenyewe matukio ya kifungu hiki.
O Uch 5. Yesu alijua nini kumhusu yeye mwenyewe kilicho tajwa katika mstari wa 1?
Ufa 6. Yesu aliwapenda wanafunzi wake kiasi gani?
I Ufa 7. Je, Yuda Iskarioti alikuwemo katika upendo huo?
I Ufa 8. Ilikuwaje Yesu ampende mtu ambaye baada ya muda mfupi angemsaliti?
O Uch 9. Orodhesha mambo ambayo Yesu anayajua kumhusu yeye mwenyewe
katika mstari wa 3.
I Ufa 10. Ni kwanini Yesu aliwaosha wanafunzi miguu?
I Ufa 11. Kwa kawaida ni kazi ya nani kuosha miguu?
O Uch 12. Petro alilipokeaje pendo la kuoshwa miguu na Yesu?
I Ufa 13. Kwa nini Petro hakutaka Yesu amuoshe miguu?
O Uch 14. Petro alilipokeaje jibu la Yesu katika mstari wa 9?
I Ufa 15. Elezea Yesu alimaanisha nini katika mstari wa10.
A Ute 16. Wewe ungelijibuje swali la Yesu katika mstari wa12?
I Ufa 17. Ni kwanini Yesu anasema tunatakiwa kuoshana miguu?
I Ufa 18. Yesu alimaanisha nini kwa kauli yake katika mstari wa16?
I Ufa 19. Ni kwanini haitoshi kujua tu mambo, (Tazama mstari wa17)?
I Ufa 20. Yesu anamwongelea nani katika mstari wa18?
I Ufa 21. Tafadhali fasiri mstari wa 20.
A Ute 22a. Tafadhali tengeneza matumizi ya mafundisho makuu ya ujumbe huu.
A Ute 22b. Nini kingekuwa matumizi ya jumla?
A Ute 22c. Ni mambo gani mahususi unayoweza kufanya?
49
Kazi ya Kuchagua #2 Filemoni
Kazi ya Kuchagua #2
1. 1. Soma mstari (Filemoni) mara nyingi.
2. 2. Andika ufupisho wa Maandiko haya kwa kutumia fomu ya Ufipisho wa Waraka
(kama ilivyoonyeshwa kwenye ukurasa wa 20).
3. 3. Weka mistari hii kwenye Jedwali kama ilivyoonyeshwa ukurasa wa 21.
Filemoni
1) 1) Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu, na Timotheo aliye ndugu yetu, kwa Filemoni mpendwa wetu,
2) mtenda kazi pamoja nasi,
3) 2) Na kwa Afia, ndugu yetu, na kwa Arkipo askari mwenzetu, na kwa kanisa lililo katika nyumba
yako.
4) 3) Neema na iwe kwenu, na amani, zitokanazo kwa Mungu, Baba yetu, na kwa Bwana Yesu Kristo.
5) 4) Namshukuru Mungu siku zote, nikikukumbuka katika maombi yangu,
6) 5) Nikisikia habari za upendo wako na imani uliyo nayo kwa Bwana Yesu na kwa watakatifu wote,
7) 6) Ili kwamba ushirika wa imani yako ufanye kazi yake, katika ujuzi wa kila kitu chema kilicho
kwetu, katika Kristo.
8) 7) Maana nalikuwa na furaha nyingi na faraja kwa sababu ya upendo wako, kwa kuwa mioyo ya
watakatifu imeburudishwa nawe, ndugu yangu.
9) 8) Kwa hiyo, nijapokuwa nina ujasiri katika Kristo kukuagiza likupasalo,
10) 9) lakini, kwa ajili ya upendo nakusihi, kwa kuwa ni kama nilivyo, Paulo mzee, na sasa mfungwa
wa Kristo Yesu pia.
11) 10) Nakusihi kwa ajili ya mtoto wangu niliyemzaa katika vifungo vyangu, yaani, Onesimo,
12) 11) ambaye zamani alikuwa hakufai, bali sasa akufaa sana, wewe na mimi pia,
13) 12) niliyemtuma kwako, yeye mwenyewe, maana ni moyo wangu hasa,
14) 13) ambaye mimi nalitaka akae kwangu, apate kunitumikia badala yako katika vifungo vya Injili.
15) 14) Lakini sikutaka kutenda neno lolote isipokuwa kwa shauri lako, ili kwamba wema wako usiwe
kama kwa lazima, bali kwa hiari.
16) 15) Maana, labda ndiyo sababu alitengwa nawe kwa muda, ili uwe naye tena milele,
16) tokea sasa, si kama mtumwa, bali zaidi ya mtumwa, ndugu mpendwa, kwangu mimi sana, na
kwako wewe zaidi sana, katika mwili na katika Bwana.
17) 17) Basi kama ukiniona mimi kuwa mshirika nawe, mpokee huyu kama mimi mwenyewe.
18) 18) Na kama amekudhulumu, au unamwia kitu, ukiandike hicho juu yangu.
19) Mimi Paulo nimeandika kwa mkono wangu mwenyewe, mimi nitalipa. Sikuambii kwamba
nakuwia hata nafsi yako.
19) 20) Naam, ndugu yangu, nipate faida kwako katika Bwana, uniburudishe moyo wangu katika Kristo.
20) 21) Kwa kuwa nakuamini kutii kwako ndiyo maana nimekuandikia, nikijua ya kuwa utafanya zaidi
ya hayo nisemayo.
21) Na pamoja na hayo uniwekee tayari mahali pa kukaa, maana natarajia ya kwamba kwa maombi
yenu mtajaliwa kunipata.
22) 23) Epafra, aliyefungwa pamoja nami katika Kristo Yesu, akusalimu,
23) 24) na Marko, na Aristarko, na Dema, na Luka, watendao kazi pamoja nami.
24) 25) Neema ya Bwana Yesu Kristo na iwe pamoja na roho zenu.
50
Kazi ya kuchagua #3 Isaya 55
Kazi ya Kuchagua #3
1. 1. Soma Maandiko (Isaya 55) mara kadhaa (mara tatu).
2. 2. Uandike ufupisho wa Maandiko haya (tumia ufupisho rahisi).
3. 3. Tofautisha aina za unabii katika kila wazo la huo ufupisho.
4. 4. Tafuta wazo kuu la huu unabii.
5. 5. Weka mistari hii kwenye jedwali ukitumia ufupisho wake.
6. 6. Tunga ufupisho wa mahubiri ambao utatumia kufafanua maandiko haya. Chukua wazo la
kwanza na kulikuza mstari kwa mstari. Taja wazo la kwanza na kuanza kuelezea kila mstari
unaolihusu. Unaweza ukataka kuelezea maneno na kauli za msingi katika kifungu hicho ambayo
umeyaona, ukayafasiri, na kuyatumia. Kisha endelea hadi kwenye wazo linalofuata na
kulikuza. Jaribu kufikiria vielelezo na hadithi kulielezea hilo wazo. (Angalia mfano ulioko
ukurasa wa 43)
ISAYA 55
1) 1) Haya, kila aonaye kiu, njoni majini, naye asiye na fedha, njoni, nunueni mle, naam, njoni,
nunueni divai na maziwa, bila fedha na bila thamani.
2) Kwani kutoa fedha kwa ajili ya kitu ambacho si chakula, na mapatao yenu kwa kitu
kisichoshibisha? Nisikilizeni kwa bidii, mle kilicho chema, na kujifurahisha nafsi zenu kwa
unono.
3) 3) Tegeni masikio yenu na kunijia, Sikieni, na nafsi zenu zitaishi, Nami nitafanya nanyi agano la
milele, Naam, rehema za Daudi zilizo imara.
4) 4) Angalieni, nimemweka kuwa shahidi kwa kabila za watu, kuwa kiongozi jemedari kwa kabila
za watu.
5) Tazama, utaita taifa usilolijua, na taifa lisilokujua wewe litakukimbilia, kwa sababu ya BWANA,
Mungu wako, na kwa ajili yake Mtakatifu wa Israeli, maana amekutukuza.
6) 6) Mtafuteni BWANA, maana anapatika, mwiteni maadamu yu karibu.
7) Mtu mbaya na aache njia yake, na mtu asiye haki aache mawazo yake, na amrudie BWANA,
naye atamrehemu, na arejee kwa Mungu wetu, naye atamsamehe kabisa.
8) 8) Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu, asema BWANA.
9) 9) Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana
kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.
10) Maana kama vile mvua ishukavyo, na theluji, kutoka mbinguni, wala hairudi huko, bali
huinywesha ardhi, na kuizalisha na kuichipuza, ikampa mtu apndaye mbegu, na mtu alaye
chakula,
11) ndivyo litakavyokuwa neno langu, litokalo katika kinywa changu, halitanirudia bure bali
litatimiza mapenzi yangu, nalo litafanikiwa katika mambo yale niliyolituma.
12) Maana mtatoka kwa furaha, mtaongozwa kwa amani, mbele yenu milima na vilima vitatoa
nyimbo, na miti yote ya kondeni itapiga makofi.
13) Badala ya mchongoma utamea msunobari, na badala ya mibigili, mhandesi; Jambo
hililitakuwa la kumpatia Bwana jina, litakuwa ishara ya milele isiyokatiliwa mbali.
51
APPENDIX
KIAMBATANISHO
52
Jinsi
ya
kuanzisha
na
kuongoza
mafunzo
ya
Biblia
Kuanzisha mafunzo ya Biblia ni jambo la faida kubwa kwa kiongozi na washiriki.
Ikiwa hujawahi kuongoza kundi kabla ya hapo, yaweza kuwa jambo la busara kuanza
na kundi dogo na kuongeza idadi kidogo kidogo. Anza na mafunzo mara chache, kwa
mfano mara moja kila wiki kwa mwezi mmoja. Hili litakuwezesha kujifunza kadiri
unapoendelea kuwa bora zaidi. Ukianza na mafunzo marefu, watu wanaweza kupoteza
hamu na kuacha kuhudhuria kabla hujapata maendeleo ya kutosha na ili linaweza
kupelekea kuvunjika moyo.
Tunatakiwa kumkaribisha nani?
Kabla hujamkaribisha mtu yeyote, tumia muda katika maombi. Ni lazima uamini
kwamba Mungu anatayarisha watu wenye njaa kwa Neno lake. Ukweli wa mambo ni
kwamba amekuwa akitayarisha watu kabla hata hujafikiri kuanza mafunzo!
Unapoomba atawaleta watu fulani kwako ambao unajua wanatakiwa kukaribishwa.
Anza na watu wachache tu, wawili au watatu wanatosha. Unapoendelea kundi litakua,
lakini ni muhimu kuanza na kundi dogo.
Ni muda kiasi gani unahitajika?
Viongozi wazoefu wa mafunzo ya Biblia wamegundua kwamba kitu chochote
kinachozidi saa moja ni kirefu mno. Baadhi ya washiriki watapoteza hamu na kuacha
kuhudhuria mafunzo kama yatakuwa yanatumia muda mrefu mno. Chagua muda mzuri wa
kukutana ambao unamfaa kila mtu, na uwe na ratiba ambayo haisumbui watu. Kuna
wakati utakaa kwa muda mrefu kuliko mwingine lakini zingatia sana matakwa ya
kundi lako.
53
Nitatayarishaje na kuongoza? Jinsi ya kuanzisha na kuongoza
mafunzo ya Biblia
Nijitayarishaje?
Mafunzo mazuri ya Biblia “hayatokei tu yenyewe” kama ajali- yanatayarishwa
kwa uangalifu. Kwanza mwache Mungu azungumze na moyo wako wakati
unapojifunza. Liache Neno lake lizame ndani yako kabisa na kukusaidia. Pili, jipe
muda wa kutosha kwa ajili ya kujifunza kwa makini ili uelewe vizuri mistari
inayohusika na hapo utaweza kuliongoza kundi kwa ufanisi. Kama utafanya haraka
unapojifunza Biblia mafunzo hayo yanaweza yakakosa yale Mungu anayokusudia.
Ukiwa umejitayarisha vizuri na kwamba ukweli wa Mungu umekushika barabara
kuna uwezekano mkubwa zaidi kwamba kundi lako litaipata hali hiyo pia.
Baada ya kusoma mistari husika mara kadhaa, anza kwa kutumia ufupisho ili
kuyavunja vunja hayo mawazo yaliyomo. Tafuta mahali aya zinapoanza na kuishia.
Jiulize kama hili ni wazo kamili, au limeendelea kwenye aya inayofuata. Wazo ni
nini hapa?
Baada ya kufupisha mistari, anza kwa kuweka kwenye chati yote uliyoyaona na yote
uliyoyafasiri na matumizi yake. Baada ya kumaliza hilo, uko tayari kutengeneza
maswali. Kuuliza maswali ambayo yatavuta wazo kuu kutoka kwenye kila
kipengele. Maswali yako yanatakiwa kufuata mtiririko ambao mistari hiyo
imeandikwa. Kumbuka, tunayajifunza maandiko hayo kwa utaratibu uliopangiliwa.
Niongozeje?
Baada ya kuunda maswali kutokana na maandiko, uko tayari kuongoza kundi lako
katika mafunzo. Kumbuka: usijibu maswali yako mwenyewe. Kama kundi
hawaelewi swali, basi badilisha maneno. Kila mara warudishe kundi kwenye
maandiko kupata majibu.
Kumbuka kuyaendea Maandiko kama vile kuendea kitabu, ambacho tunafungua ili
kujifunza kutoka humo. Mara nyingi kadiri iwezekanavyo, acha Maandiko
yajiongelee yenyewe.
54
Kutathimini Uongozi Wako Jinsi ya kuanza na kuongoza
mafunzo ya Biblia
Kutathimini Uongozi Wako
Baada ya mafunzo ya siku moja, unaweza kutaka kupitia orodha hii wewe
mwenyewe, au kumkaribisha Mkristo mwingine katika kundi lako la kujifunza ili
muipitie orodha pamoja. Kabla hujaanza kwa nini usimshukuru Mungu kwa majibu
mahususi ya sala katika mafunzo uliyoongoza. Kwa vyovyote vile unavyofikiri
mafunzo yalikwenda, unaweza kumshukuru kwamba anaweza kutumia Neno lake
kwa mafanikio kwa kila mtu aliyehudhuria.
MATAYARISHO YAKO
1. 1. Unafikiri ulitumia muda wa kutosha kujitayarisha?
2. Uliweza kupata uelewa mzuri kwenye mafundisho ya msingi? Je uliyaacha
mafundisho hayo yakushikilie?
3. Matayarisho yako kwenye sala: Je unataka kufanya mabadiliko katika yale
uliyoyaombea unapojitayarisha kwa ajili ya mafunzo yanayofuata?
MTAZAMO WAKO
1. Ulimtazamia Mungu kufanya kazi katika hayo mafunzo?
2. Uliweza kuwaonyesha mtu mmoja mmoja wakajua kwamba wanakaribishwa, ili
kwamba mtu mwenye swali au tatizo atake kuongea na wewe?
3. 3. Ulikuwa radhi kujifunza kutoka kwa wengine katika hili kundi?
MAZINGIRA
1. Je yalikuwa yasiyo rasmi na ya asili?
2. 2. Kwa ujumla, watu walijisikia huru kuchangia?
3. 3. Ni kwa njia zipi uliweza kuwasaidia watu na kuhamasisha ushiriki wao?
55
Kutathimini Uongozi Wako - inaendelea Jinsi ya kuanza na
kuongoza mafunzo ya Biblia
MUDA
1. Kama ungekuwa unaongoza mafunzo yaliyoko kwenye aya hii mara nyingine
ungebadilisha kasi yake?
2. Uliweza kuanza na kumalizia kwa namna iliyopangwa?
MAJADILIANO
1. Orodhesha vitu ulivyojifunza katika kuendesha mjadala kisha tafakari:
a. Je kundi lako lilielewa mambo muhimu ya mjadala?
b. Je kundi liliingia kwenye Maandiko kutafuta majibu?
c. Uliweza kujizuia usijibu maswali yako mwenyewe? (Lakini uliweza
kuchangia mara kwa mara, kama mmojawapo katika kundi?)
d. Je ulibadilisha maneno ya maswali pale ilipohitajika?
e. Je uliweza kuhamasisha jibu zaidi ya moja kwa maswali mengi?
f. Kuna kitu chochote ambacho ungependa kumuomba Bwana afanye katika
watu ambacho kingesaidia katika kushiriki?
g. Je kuna mtu fulani ambaye ungeweza kumsaidia katika kushiriki? Ongea
naye mwenye.
MADHUMUNI
1. Majadiliano yalionyesha mawazo makuu katika hiyo aya? Je haya yalitamkwa
ili watu waweze kuyachukua katika fikra na matendo yao?
2. Je, mawazo yaliyokuwa yanaongoza yalifungwa pamoja mwishoni kutoa picha
ya jumla?
3. Umeridhaka kwamba mafunzo yalifikia lengo lake – Je baadhi ya watu
walionekana kuchukua kweli zilizomo kuzitumia katika maisha yao?
56
Mambo ya kutafakari kwa ujumla Jinsi ya kuanza na kuongoza
mafunzo ya Biblia
MAMBO YA KUTAFAKARI KWA UJUMLA
 Tegemea mistari ya maandiko ijibu maswali yatakayojitokeza, na siyo
huyo kiongozi.
 Jaribu kubakia kwenye aya inayoongelewa. Kuna wakati ambapo maelezo
ya ziada yanahitajika kutoka sehemu nyingine za Maandiko, lakini
jifunnxze kufanya kazi kwa kutumia ile mistari iliyo mbele yako.
 Baki nani ya mada inayozungumziwa – Ni rahisi kuchepuka na kutoka
kwenye mada.
 Ni muhimu kwa kila mtu kuchangia ili kundi liweze kujifunza. Kwa wale
ambao wanaoweza kuongea sana wanahitaji kufikiria Yule ambaye ni
mkimya na kutoa fursa kwa mtu huyo kuchangia.
 Pale watu wapya wanapojiunga na kundi, inaweza kuwa jambo la msaada
kuuangalia tena muongozo.
Pale unapouliza maswali, hakikisha unawapa kundi muda wa kutafuta maelezo
katika mistari ya maandiko. Kuna wakati itaoneka kipendi kirefu cha ukimya
kinapita baada ya swali. Kuwa mwangalifu usiharakishe, kwa sababu watakuwa
wanatafuta majibu kwenye mistari.
Maswali mengi yatapata jibu zaidi ya moja, kwa hiyo jisikie huru kusubiri majibu
zaidi kutoka kwenye kundi. Baada ya jibu la kwanza, unaweza kuhamasisha maoni
zaidi kwa kusema, “Jibu zuri”, au Kuna mtu mwenye kitu kingine cha kusema?
Kumbuka kwamba mjadala wenu utaendelea taratibu mara chache za mwanzo
mnazokutana, lakini utakuwa bora zaidi pale kila mtu anapokuwa amezoea. Kwa
wengine, yaweza kuwa mara yao kwanza ambapo wamewahi kujadili Biblia kwa
njia hii.
Usijali kamam baadhi ya michango itaonekana kwa kiasi Fulani ni ya ajabu au
tofauti. Kumbuka, Mungu anafanya kazi na kiongozi hawajabiki kunyoosha
mawazo ya kila mtu. Wajibu wako ni kumfanya kila mtu aingie kwenye NENO na
kuacha NENO liwanyooshe! Baadhi ya watu wanatabia ya kuibua matatizo.
Waombe wakae na maswali yao mpaka baada ya mjadala ambapo wewe unaweza
kuongea nao kibinafsi. Hata hivyo, hakikisha umeongea nao baadae.
57
Mambo ya kutafakari kwa ujumla-inaendelea Jinsi ya kuanza na
kuongoza mafunzo ya Biblia
Wakati mwingine, wakati mjadala unaendelea, mshiriki anaweza bila
kutegemewa kuleta jibu la swali ambalo hujauliza bado. Katika hali kama hii,
jadili swala hili wakati huo huo linapotokea. Kwa msisitizo, bado unaweza
kulitaja hilo swali kwa utaratibu sahihi ulioko kwenye muongozo wako na
kukumbushia maoni yaliyotolewa kwenye mjadala juu ya jambo hilo.
Kuna nyakati ambapo mjadala unapamba moto sana, na gafla unagundua
kwamba kila mtu ametoka nje ya mada na muda umekwisha. Unataka kuwa na
mjadala mzuri, lakini pia unatakiwa kumwacha Mungu aongee kupitia hiyo aya.
Kama utafaulu kufanya tu nusu ya aya, kundi laweza kupata tu nusu ya lengo.
Jifunze kulirudisha kundi nyuma pale wanapotoka nje ya mada, na kuendelea na
swali linalofuata.
Baada ya kila kipindi, imarisha uongozi wako kwa kupitia maswali ya tathmini
kwa viongozi ambayo yametolewa kwenye muongozo huu (ukurasa?-?)
Mungu anaweza kufanya kazi katika mafunzo ya Biblia ambayo yanawatu
wachache tu ndani yake, au katika kundi kubwa zaidi. Hata hivyo uzoefu
unaonesha kwamba pale kundi linapopanuka na kuzidi watu 7 au 8, mjadala
hautatoa matunda vizuri hivyo kuna kitu kitapotea. Kama lengo lako ni kuwa na
mjadala wa wazi na ukweli katika neno la Mungu, ni vizuri zaidi kudumisha
kundi dogo. Kama kundi litapanuka na kufikia ukubwa ambao si mzuri fikiria
kuligawa katika makundi mawili madogo na kumfundisha mtu mwingine
kuongoza hilo kundi lingine.
Makundi madogo yanaweza kuwa ufunguo wa kweli kwa ukuwaji wa Kanisa,
kwa njia zote mbili yaani Kiroho na Kimwili.
58
Nguvu ya Kundi Dogo Jinsi ya kuanza na kuongoza mafunzo ya Biblia
NGUVU YA KUNDI DOGO
Kuelewa nguvu ya kundi ni kitu cha muhimu sana kwa kila kiongozi wa kikundi.
Mara nyingi makundi huanza na kukutana kwa msisimko mkubwa, lakini baada ya
muda mfupi hushindwa. Ni kwa nini hili hutokea? Kunaweza kuwa na sababu
nyingi, kwa mfano kiongozi ambaye hajali hisia za wanakikundi, tofauti za hulka
ndani ya kikundi, au kutokuwepo kwa mpango madhubuti.
Kama kundi linashindwa, kila mara kuna sababu. Hata hivyo, kus hindwa
hakutatokea kama utakuwa mwangalifu katika kanuni chache za msingi za nguvu
za kikundi. Baadhi ya makundi hufanya kazi bila kwanza kufikiria ni kitu gani
hufanya kundi liweze kufanya kazi vizuri. Wanadumu kwa sababu wanatenda bila
kujua ile misingi ya nguvu za makundi.
OBJECTIVE VS. SUBJECTIVE
Makundi hufanya kazi katika hatua mbili za msingi: objective and subjective.
Kama haya mawili hayakusaidiana basi huyo kiongozi wake atakuwa matatani.
Upande wa objective wa kundi unaelezewa kwa jukumu lililopo, yaani, kujisomea
Biblia, mkutano wa maombi, mkutano wa bodi, kwaya n.k.
Upande wa subjective unahusika na mahusiano ya ndani ya kundi, pamoja na mtu
binafsi kuangusha sehmu ya kundi. Makundi yameundwa na watu wenye hisia zao,
ubaguzi, mahitaji na malengo yao binafsi.
Kila mtu katika kikundi atajiuliza kimya kimya, “Mimi nina nafasi gani katika hiki
kikund i? Watu watayakubali maoni yangu? Nitafanyaje hili kundi wanione
kwamba nina akili sana, mimi ni mwema, ni wa kiroho, au kingine cho chote
anachoona kwamba kinakufanya ustahili kuheshimiwa? Utanikubali kama nitakuja
kitofauti?” Hadi pale mtu atakapopata majibu kwa maswali haya, atakuwa hajawa
tayari kiukweli kuendelea na jukumu hilo. (Kujifunza Biblia, sala, nk.).
Hatua hii ya subjective ndipo matatizo halisi hutokea, na tunahitaji kuiangalia kwa
ukaribu sana. Je, umewahi kuona ni jinsi gani baadhi ya makundi hayafanikiwi
kutimiza lengo lo lote? Huanza na Isaya 1, lakini huendelea tu hadi mistari miwili
ya mwanzo, au wanapanga ibada, lakini nusu saa baadaye wameamua kumkaribisha
kiongozi wa ibada. Badala ya kuendelea na jukumu lililo mbele yao, wanakikundi
huanza kubishana, kufanya mzaha, kila mtu anaongea wakati huo huo, au hakuna
mtu anayeongea kabisa!
59
Nguvu ya Kundi Dogo – inaendelea. Jinsi ya kuanza na kuongoza
mafunzo ya Biblia
Kila kundi lazima lizingatie kwa yote mawili, yaani upande wa objective na subjective.
Makundi ambayo yanazingatia kama vipofu kwenye jambo hili wako kwenye hatari
kubwa zaidi. Baada ya muda, uhusiano wa kundi yatasababisha mshindwe kulifikia lengo.
Ukiwa kama kiongozi, unahitaji kujifunza jinsi ya kushughulikia mivutano na matatizo.
Jifunze kutambua matatizo katika kiwango cha subjective. Jaribu kutambua hisia, kwa
sababu ni mara chache wanashirikisha kundi hisia zao. Mtu hawezi kusema, “huku
kujisomea Biblia kunachusha kweli”, badala yake huwa wanaacha kushiriki, wakiketi tu
kwenye viti vyao au kuangalia nje dirishani. Watakuwa wanawasiliana kwa njia Fulani
badala ya nia ya maneno. Usidanganyike, huyo aliyelala anasema kitu! Hata maneno
yanaweza kupingana na hisia zetu. Naweza kuwa nimekasirika, nikiwa na uso
umekunjamana lakini nikasisitiza kwamba sijakasirika. Watu wanawasiliana kwa njia
nyingi mbali mbali, kwa hiyo tujifunze kutambua maana za mawasiliano ambayo
hayatumii maneno.
Pengine njia ya hakika kuliko nyingine ya kujua kinachoendelea katika kundi ni kujiuliza
swali: “Ninajisikiaje sasa hivi?” Kama nimekasirishwa, nimefadhaishwa au ninajitetea,
basi kuna kitu kisicho sawa. Kama hilo tatizo liko wazi, basi liweke wazi na
kulishughulikia. “Naona kama baadhi yenu kuna kitu kimewaudhi. Kuna mtu angependa
kuongelea jambo hili?” Mara hisia zilizofichika zikishaongelewa, linaweza kuwa jambo
zuri badala ya kuwa jambo baya kwa kundi. Si jambo la ajabu nyakati zenye manufaa
makubwa kabisa katika kundi kutokea pale tunapoacha kuzingatia lengo (kujisomea
Biblia, nk.) na kuhamishia kwenye subjective.
Mama mmoja kijana alikuwa mshiriki katika kundi dogo la kujisomea Biblia. Alichangia
kwa uhuru katika kila mkutano. Siku moja alikja na kuketi kimya kwa nusu ya kipindi
hicho. Kiongozi aligundua ukimya huu na alisitisha mafunnzo ili apate kujua ni jambo
gani lililokuwa linamsumbua huyo mama. Huyo mama akaanza kutoa machozi na
kuwashirikisha jinsi mama yake alivyokuwa anaumwa mahututi. Mara moja kundi
liliungana na yule mama katika maombi kwa ajili ya mama yake na kumfariji huyo
mwenzao. Hilo kundi lilibadilika kutoka kwenye kundi la kujifunza na kuwa kundi lenye
upendo na kuwajali wengine. Kutokana na mazingira kama hayo, ambapo huonekana
yanao uharibifu, tunajifunza somo la thamani kubwa kutuhusu sisi wenyewe, mahusiano,
magombano, upendo, msamaha na uaminifu. Kwa maneno mengine, tunajifunza kwa
uzoefu maana ya maneno ambayo tumeyaongelea mara nyingi kutoka kwenye Maandiko.
MPANGILIO WA MAHUSIAN
Wanapokuwa katika makundi, watu hufanya mambo kwa njia ambayo tunaitegemea.
Baadhi ya njia wanazotenda mambo husaidia na nyingine hukwaza. Hapa kuna aina hizo:
 Kuongea kupita kiasi – kila wakati anakuwa na kitu cha kusema kuhusu kila kitu
 Mtu mwenye haya – mara chache sana atasema kitu chochote
60
Nguvu ya Kundi Dogo – inaendelea. Jinsi ya kuanza na kuongoza
mafunzo ya Biblia
 Mwangaliaji – huangalia kila kitu, lakini yeye hatendi
 Mchekeshaji – kila mara anacho kitu cha kuchekesha
 Myumbishaji – Mwenye ufahamu mwingi ambaye hutoa michango isiyohusika
 Mbishi – ana maoni yenye nguvu na hakubali hoja zake kushindwa kirahisi
 Mwenye ajenda ya siri – ana kitu kingine akilini, lakini hapendi kukionyesha
KUSHUGHULIKA NA HIZI AINA TOFAUTI
Anayeongea kupita kiasi
Mchukue mtu huyu na kuongea naye wewe binafsi bila kumshambulia au
kumuumbua. “Paulo, nahitaji msaada wako katika kuwafanya waongee zaidi.
Ninashukuru sana kwa mawazo unayotoa, lakini nisaidie kuwafanya wengine
katika kundi nao wachangie. Pale ninapouliza swali, naomba usiwe wa kwanza
kujibu. Hebu tuwahamasishe na wengine kujiunga na kutoa mawazo yao.”
Mwenye Aibu
Huku ukitumia majina yao ya kwanza, mwulize mtu swali moja kwa moja. Hili
litaanza kuwafanya wachangie zaidi. Sema vitu vizuri kuhusiana na jibu lake, kwa
mfano: “huo ni mtazamo mzuri”, au “umejibu vizuri!”
Mtazamaji
Jaribu kumvuta mtu huyu ndani kwa kutumia swali la moja kwa moja. Wakati
mwingine watu huwa watazamaji kwa sababu hawana hakika kama kundi
litawakubali. Kwa hiyo, wavute ndani kwa upole na kuwakubali.
Mchekeshaji
Mtu huyu anaweza kuwa wa msaada mkubwa kwa kundi kupunguza msongo wa
mawazo na kwafanya watu wakae kwa starehe zaidi. Hata hivyo, kuna wakati
mwingine kichekesho kinatolewa wakati mbaya. Kama hili linakuwa tatizo,
mchukue pembeni mhusika na kumwambia kuwa unashukuru kwa kipawa chake
cha kuchekesha. Lakini, msaidie aone kwamba wanatakiwa kutumia hekima
wanapochekesha.
61
Nguvu ya Kundi Dogo – inaendelea. Jinsi ya kuanza na kuongoza
mafunzo ya Biblia
Mpotoshaji
Aina hii ya mtu inaweza kuwa tatizo kubwa kwa kundi kama hatashughulikiwa kwa
ufundi mkubwa. Jifunze kumrudisha mtu huyu kwenye mada na maandiko
yanayohusika. Unaweza kutoa kauli kama, “Hiyo ni mada nzuri. Labda tunaweza
kuiongelea zaidi wakati mwingine.” Bila kumpa mtu huyo muda wa kujibu,
liongoze kundi lirudi kwenye topiki husika kwa kutumia swali jingine.
Mbishani
Kama mtu anaendelea kuwa na matatizo, mchukue pembeni na kuongea naye.
Heshimu mawazo yake, lakini sisitiza umuhimu wa kuwaacha wengine katika
kundi kutoa maoni tofauti bila kujisikia ulazima wa kutoa changamoto kwa
mawazo mengine kwa njia ya mabishano. Kama kiongozi ataruhusu aina hii ya
mtu aendelee, kundi litaacha kuchangia kwa kuogopa kubishiwa. Kama mtu huyu
akianza ubishi, ni muhimu kwamba kiongozi anadhibiti hali. Tambua thamani ya
mawazo yote mawili, na kusema kwamba wengine pia wana maoni yenye nguvu
kwenye masuala haya. Waambie waache ubishi wao na kuendelea na kujifunza.
Ajenda iliyofichika
Kama utahisi kwamba kuna mtu anakwaza mafunzo basi ni muhimu
kulishughulikia chochote kinachomsumbua mtu huyo. Kabla hujachukua hatua yo
yote mwombee kimya kimya. Wakati mwingine hili ndilo jambo pekee
linalohitajika kufanyika. Hata hivyo, kama utaona kuna umuhimu wa kufanya
hivyo, unaweza kumsaidia mtu huyo wakati wa mafunzo na swali na kauli vyaweza
kusaidia, kwa mfano: “June, leo uko kimya sana. Kuna tatizo?” au “ Inaonekana
uko mbali sana leo, kuna kitu tunachoweza kukiombea pamoja na wewe?”
MAZINGIRA YA KUNDI
Mazingira ya kundi lolote ni kitu muhimu sana. Kama watu wanajisikia joto,
upendo, kukubalika, kundi hilo litakuwa na afya. Kukiweko na mazingira sahihi,
kundi litaweza kuepuka matatizo makubwa au tabia haribifu.
Kila mtu katika kundi anatakiwa kujisikia anakubaliwa na kusiweko na hali ya
kuhukumiana kabla hawajawa huru kushiriki. Mara nyingi matatizo huingia pale
mtu Fulani anapojifikiri “amefika” kiroho, au ana utambuzi maalumu katika
mapenzi ya Mungu ambayo ni wengine wachache tu wanao kama yeye. Pale hili
linapotokea, hatuwezi kujizuia kuwahukumu wengine. Pale tunapoanza kujiona
wenyewe kama tulivyo hasa (wenye dhambi, walioanguka ambao hata hivyo
tunapendwa na Mungu), basi, sit u kwamba tuanaweza kuacha hali zetu za asili za
kuhukumu, bali pia tunaweza kuwa wakweli.
62
Mfano wa Mahubiri ya Ufafanuzi kwa Kujielezea By Earl Palmer
Ni furaha kubwa kuwepo katika
kongamano hili. Nataka
kuwashirikisha kutoka katika uzoefu
wangu wa kuwa mchungaji ,ambapo
naamini ni umuhimu wa masomo ya
Biblia pamoja na mahubiri niliyofanya
kanisani,hili sio somo kamili japokuwa
ninao ujumbe, ni ujumbe mzuri na
nitauhifadhi mpaka mwisho.
Ninachotaka kufanya ni kutoa
mahubiri ya kina, nataka kuanza
kujielezea mwenyewe, hasa kuelezea
juu ya safari yangu mwenyewe,
nafikiri ni muhimu kwenu kufahamu
jinsi nilivyoweka vipaumbele katika
utoaji huduma ya kiroho hasa
ninayoifanya hivi sasa katika kanisa la
Kiprebysterian la Berkeley na huduma
niliyofanya katika kanisa la Union
kule Manilla na kabla ya hapo katika
kanisa la chuo cha Kipresbyterian
lilipo kule Seattle na ndipo unapoweza
kujua sio tu katika mtazamo wa
kithiolojia, lakini katika thiolojia
yangu mwenyewe, ambayo ni muhimu
sana katika huduma binafsi.Mimi ni
kizazi cha tatu cha Wakalifornia na
nilikulia karibu na mlima Shasta.
Familia yangu ilikuwa ni nzuri, yenye
uhuru, yenye furaha, yenye hamasa,
lakini siyo ya dini,niliacha kuhudhuria
kanisani miaka ya mwisho ya masomo
yangu ya elimu ya juu ya sekondari, na
niliendelea kutohudhuria miaka miwili
ya kwanza katika chuo cha Kalifornia
huko Berkeley, haikuwa sehemu ya
maisha yangu kabisa, katika mwaka
wangu wa pili wa chuo nilikaa katika
bwalo la Barrington, ambayo ilikuwa
na mpaka sasa si sehemu nzuri,
tulikuwa na heshima yakuwa bweni
pekee Marekani lililopo kwene orodha
ya kamati ya shughuri zisizo za
Kimarekani. Zaidi ya watu 250
waliishi katika bweni hili la Barrington
kipindi hicho, hatimaye nikawa raisi
wa bwalo hilo, siku moja nikiendesha
gari huko Barrington, bado ipo pale.
Kukupeni ninnyi raha kidogo
illiyokuwepo, kulikuwa na michoro
kila sehemu, kwa sasa kwa sababu
kuna migomo ambayo inaendelea huko
Berkeley. Mchoro mmoja ambao
nilidhani ni alama ya bwalo la
Barrington ilikuwa juu ya mlango wa
,mbele, yakiwa - sijawahi kumsikia,
nilikaa miaka yameandikwa kwa
maandishi makubwa meusi yenye herufi
zilizopuliziwa “Ondoka hapa”Katikati
ya mwaka wangu wa pili nilialikwa na
rafiki yangu kwenda katika kujifunza
Biblia katika kikundi. Kundi hili dogo
lilikuwa likikutana mara moja kwa wiki
katika chumba na walikuwa wakijifunza
kitabu kutoka katika agano jipya:
Ilikuwa rahisi hivyo, Walikutana kwa
muda kama wa saa moja kuchangia
mawazo ya aina mbalimbali kuhusiana
na Agano jipya, Naikumbuka picha ya
kwanza niliyoipata nilipohudhuria
katika kikundi cha kujifunza Bibilia,
nilifadhaika kuona watu wa umri
wangu, vijana wa rika kubwa, wakisoma
Agano jipya kwa macho ya kiutu uzima
na wakiiongelea kwa makini pasipo
mzaha. Ulikuwa ni uzoefu wa mzuri
ajabu. Sikuwa na Bibilia kwa kipindi
hicho kwa hiyo ilibidi nisome na mtu
mwingine. Nilifurahi sana kiasi
nikasema nataka kuendelea kuja
kujifunza Biblia. Tulikuwa na Bibilia
nyumbani lakini, sikuwa nayo kule
Berkeley, Bila kujua tafsiri za aina
mbalimbali niliishia kununua Biblia
isiyo sahihi, Ile ya King James. Wiki
iliyofuata nilipoenda katika kikundi
kujifunza Bibilia waliniambia hiyo
Biblia hiyo hatuitumii, tunatumia RSV”
Ilibidi niende nikanunue Biblia
nyingine, nilikuwa hivyo, sijawa hata
mkristo kamili bado, lakini
nimeshanunua Biblia mbili katika wiki
moja. Nilinunua Biblia aina ya RSV na
nikaanza kuhudhuria mara kwa mara
katika kundi hilo dogo.
Nilianza kuhudhuria kundi la kujisomea
Bibilia lilopo chuo katika kanisa la
kwanza la Kipresbyterian lilipo
Barkeley hicho kilikuwa kipindi cha
mvua, wakati wa masika nilienda katika
kongamano katika Ziwa Tahoe,
wahubiri wawili walikuwepo, Edward
John Camell kutoka seminari hii, na
Rovert Boyd Munger , nitakumbuka
badiliko kubwa katika maisha yangu
kilichotokea siku hiyo ya kongamano,
Bob Munger alielezea juu ya kitu.
Alisema “Unapokubali juu ya imani na
thamani ya Yesu Kristo na ukawa
tayari kuamnini uaminifu huo, hapo
ndipo upo tayari kuwa Mkristo”
alisema hayo mbele ya kundi zima, sio
kwangu mimi pekee lakini vile
alivyosema alikuwa kaniambia mimi
moja kwa moja, nakumbuka nilipoenda
ziwani nakusema nimeamua kuamini
uaminifu huo wa Yesu Kristo.Haya
yalitokea nikiwa bado mdogo,
niliporudi Berkeley nilikua haraka
sana, na nilijihusisha sana na mafunzo
ya Biblia katika makundi na kama
nilivyoelezea baadaye nikachaguliwa
kuwa Rais wa Bwalo, vile vile Rais wa
kundi la chuo katika kanisa la kwanza
la Kipresbyteria.Wakati huo vile vile
nilikuwa naendelea kuwa mshiriki
mahiri katika kundi hili dogo la
kujifunza Biblia. Tuliona vitu vya
kustaajabisha katika mwaka wa
mwisho wa chuo. Tuliona watu katika
bweni lile wakibadilika na kuwa
wakristo karibu kila wiki mwishoni,
ilitokea tu, katika njia moja ama
nyingine, walikua wakitoka
gizani/porini, na Mungu aliibariki
huduma ile. Katikati ya mwaka wangu
wa mwisho japo nilikuwa nabobea
katika sheria/ Siasa na sayansi ya jamii,
niliguswa na kile kilichokuwa
kikiendelea kwenye mafunzo ya Biblia
katika kikundi na kwa kuwa nilipata
nafasi ya kushuhudia kama mkristo
nilimwambia mchungaji, Bob Munger,
“Unajua hiki ndicho kilichonibadilisa
mimi. Natamani kama ningekuwa
mtumishi “ Akajibu, Kwanini usiombe
nafasi seminari ya Princeton?” Na
niliomba nafasi katika seminari ya
Princeton, naamini nilikuwa kijana
mzuri, rasimali, mtu safi ambaye
hawajawahi kumwandikisha. Kanisa la
kwanza la Berkeley walinipangia
Page
8

December
1985

THEOLOGY,
NEWS
AND
NOTES
63
“Nikiweza kuwafanya watu wakatafakari ujumbe kwa kina, hiyo italeta ushawishi
yenyewe.”
kukutana na Lynn Bolik mkereketwa
na mfuasi mkubwa wa kiprotestanti,
alinisaidia sana nilipokuwa mwaka
kwanza huko Princeton, wengine
waliohofu kwamba nitapotea kabisa
kwenye mrengo wa kuamini juu ya
uhuru wa mtu(mfumo
huria),walihakikisha kwamba naenda
kwenye kongamano la Navigator
lililofanyika Star Lanch kabla ya
kwenda Princeton, nilipoenda
Princeton, nilipata uzoefu wa kuelewa
mambo mengi ya zamani, nillifanya
uvumbuzi mwingi wa mambo yote ya
kithiolojia yaliyokuwa ni muhimu
kwangu kithiolojia: niligundua juu ya
John Mackay, mhubiri mkubwa
ambayemizuri mitatu Princeton na
baada hapo nikaanza kutoa huduma ya
kichungaji, ila kitu kilichonitokea
kwanza nilipokuwa katika bwalo la
Barringtonkule Barkeley kiliacha
alama kubwa isiyoweza kufutika. Kule
Princeton kipindi hicho tulihitajika
wote kwenda kuinjilisha katika
makundi , kitu ambacho sikukipenda,
haikuwa dhamira yangu kwenda
makanisani na kusema maandiko
matakatifu wakati wa ibada na
kuongea na vijana na baada hapo
kwena kwenye chakula cha mchana na
familia. Tulikuwa tukiiwakilisha
seminari na tulikuwa tukifanya vizuri,
hasa has asana ay kidogo. Nilifanya
hivyo zaidi ya mara manne mpaka
nilipofikiria kuachana na huo mpango,
karibu na mara ya mwisho nilienda
Jenkintown nje ya Philadephia,
nilipata chakula cha mchana na familia
ya Kelly, kulikuwa na kijana katika
familia hiyo aitwaye Glen,aliyekuwa
ndiyo ameanza kusoma katika chuo
cha Princeton kipindi hicho alikuwa
nyumbani. Kuzungumzia maswala
yahusuyo Mungu- hakika naamini sana
juu ya haya. Nikasema “Ooh unatokea
chuo cha Princeton. Natokea seminari
ya Princeton. Inapendeza sana, inabidi
twende wote mpaka chuo” Akasema
“Safi” Kwahiyo wiki ijayo tutaenda
wote na nikamwambia “Unajua Glen,
nilipokuwa Berkeley nilijihusisha na
masomo ya Bibilia katika kikundi na
ilimaanisha mengi kwangu. Sijawahi
kufanya hivyo hapa Princeton.
Mnafikiria jamani mnaweza kupenda
kuwa na kundi la kujifunzia Bibilia?
Akasema, ngoja niwaulize rafiki zangu
tunaokaaa chumba kimoja, ili kuanzisha
kundi dogo la kujifunzia Biblia hapa
Princeton. Nilijihusisha karibu na
makundi saba kwa mara moja kwa
sababu kila kundi lilitaka nilisaidie,
hiyo ilikuwa huduma yangu kwa miaka
yote mitatu hapo Princeton. Makundi
yalikutana saa 10 jioni, saa 12 asubuhi
au saa 10:30 jioni , siku zote walitumia
saa nzima na nilitumia kanuni ile ile
kama ya Berkeley, majadiliano rahisi
yenye dhima tofauti tofauti katika
vitabu tofauti vya agano jipya. Baadhi
ya wiki Mtume Paulo alishinda na
zingine alishindwa, lakini
sikufadhaishwa na hilo. Nilijaribu
kuangalia ujumbe huo katika Biblia na
wanafunzi wenzangu na kujua nini
kimo ndani ya ujumbe
huo,nilichogundua kilikuwa sawa na
nilichokigundua kule Barrington, kama
ningepewa muda, mtu mmoja kuangalia
ujumbe, so muda mrefu wangevutiwa
nao, Upembuzi yakinifu wa kujifunza
Bibilia katika makundi ndivyo
nilivyoita. Silipendi neno “makundi ya
uinjilisti ya kujifunza Biblia “ Mara
nilipoongea na viongozi kutoka vyuo
mbalimbali, niliwaambia msiite
Makundi yenu ya kujifunzia Biblia,
Makundi ya uinjilisti ya kujifunzia
Biblia , tuyaite, Makundi ya kujifunzia
Biblia kwa kina, Kwanini tulipe
kitambulisho cha kipekee? Ngoja
tusome ujumbe maana inafaa na kama
Mungu afanye uinjilishaji kama
akichagua hili. Hivi sasa California ya
kaskazini vyuo mbali mbali vinaita
masomo ya Biblia katika vikundi,
Makundi ya kujifunzia Biblia kwa
kina,Niliwaona vijana kadhaa kule
Princeton wakibadilika na kuwa
wakristo katka makundi hayo ya
kujifunzia Biblia, sijawahi fanya
chochote cha kuwalazimisha wawe
wakristo ama kuwashurutisha, ilitokea
tu, uvumbuzi huu wote uliijenga sana
huduma yangu ya utumishi na staili ya
uendeshaji kimsingi kabisa vile vile na
njia zangu za kithiolojia,Kwa uhakika
kabisa naweza kusema huduma zangu
za kidini kule Seatle, Manila,na
Berkeley zilitokana na msingi huu:
kama ningepata watu wakafikiria
kiumakini ujumbe huu ingewavutia
kwa namna moja.Kanuni hiyo
iliniondolea msukumo, wala sikutaka
kutumia akili sana au kuwa na mpango
madhubuti. Niliyohitaji kuyafanya
ilikuwa nikuwafanya watu watafakari
ujumbe japo mara nyingine inahitaji
stadi Fulani kuwanya watu wafanye
hivyo. Niliamini thiolojia nzuri ni ile
ambayo inaanza na ujumbe. Sio
kuchukua maswali yote ya dunia nzima
alafu unaanza kuyatafuta majibu katka
Biblia ili uiambie dunia, ila ni kupata
maadili na msimamo kutoka katika
ujumbe na kutumia ujumbe huo kuijibu
dunia, katika kitabu kilichoandikwa na
Thielecke volume 2, Theological
Ethics, alielezea utofauti wa Thiolojia
kati ya Paulo Tillich na Karl Barth, na
alitumia mbinu hii kutofautisha njia
hizo mbili za Kithiolojia. Alionyesha
kwamba Paul Tillich ambaye alihusika
sana na uhusiano, alianza na namna
mbali mbali jinsi dunia ilivyo, na ndio
maana thiolojia yake imesimamia
kwenye uwepo na ubashiri/kuhisi.
Alianza na mambo mbali mbali
yaliyomo duniani, aliuliza maswali
kuhusu uwepo na kuangalia mtazamo
wa kithiolojia, Thielecke alionyesha
hayo kwa utofauti, Karl Barth alianza
na ujumbe na akaiangalia dunia na
wapi mgongano huo umetokea.
Aliutumia huo kama mfano wake wa
mbinu ya kithiolojia katika kitabu
kinachoitwa Barmen Declaration of
1934, kilichoandikwa na Karl Barth,
Martin Niemoller na Wilheim
Niemoller. Inavutia kuona kwamba
makala zote saba katka Barmen
Declaration zimeanza na ujumbe na
kutoka kwenye ujumbe inaenda moja
kwa moja kuona dunia ilivyo, kwa
mfano Makala no. 1 inaanza na Yohana
14. Mimi ndimi njia,
Page 9 • December 1985 • THEOLOGY, NEWS AND NOTES
64
“Mimi nilishawishika kuamini kwamba mahubiri yenye nguvu/ufanisi mkubwa
kuliko yote, ni yale, yenye kuvutana kurefu, yenye ufafanuzi wa Kibiblia.”
ya kweli na uzima hakuna ajaye kwa
Baba ila kupitia kwangu”. Ndipo
inakuja makala: Yesu Kristo ni neno
moja tulipasalo kulitii, katika maisha
na kifo, kinyume cha hapo: tunakataa
mafundisho ya uongo kwamba kuna
maneno yaliyo na mamlaka sawa
ambayo inabidi tuyasikie mbali na hili
neno moja tu la Yesu Kristo” kujua
kwamba Barth alianza na ujumbe, na
akaupeleka mpaka kwenye UNAZI –
Ujerumani mwaka 1934, na aliiona
migongano. Hakuanza kuelezea juu ya
uwepo wa mwanadamu na kifo na
baada hapo kuhisi juu ya uhusiano
uliopo, katika maneno mengine,
alianza kama mtu wa mafundisho ya
Kibibilia, Barth kama mwanateolojia
alisafiri safari ya aina moja: alianza na
maelezo kuhusu Roma, maelezo
kuhusu Uroma, na ndipo alipoendelea
na mafunzo maalumu ya Thiolojia.
Kithiolojia na kimaadili/miiko na
uzoefu nilikubali kabisa juu ya kusoma
Biblia katika makundi na baada ya
hapo thiolojia yangu binafsi,
niliuchukua mtazamo huu wa
Kibbilia/Kithiolojia ndio maana
nafikiri bora nikawa mwanathiolojia
wa Kibiblia ninayefuatilia na kujua
vitu vingi kuhusu Bibilia kuliko kuwa
mwanathiolojia wa kufuata kanuni na
taratibu tu. Nilishawishika kwamba
uinjilisti wa kweli utatoka njia rahisi
isiyo tata ipatikanayo kwenye
uchambuzi yakinifu wa masomo ya
Biblia,pale ambapo unakuwa huelewi
kwamba unainjilisha. Falsafa yangu
nzima ya uinjilishaji ni hatua zaidi ya
elfu moja kila moja pekee ambazo
zilitokea kutokana na urafiki,katika
mazingira ya kawaida kabisa, watu
walio wengi wa Berkeley
waliompokea Kristo wanatokana na
makundi ya kujifunzia Biblia,
Makundi yanayojifunza Biblia kwa
kina, Vikundi vya maombi, uhusiano
ambao watu wanapata nafasi ya kuona
jinsi wakristo wanavyofikiri na
kupendana, kuwaona wakristo katika
maisha yao ya kila siku.Hukerwa na
udadisi wao, baadaye huchunguza na
kuwa Wakristo.Mwishoni
nilishawishika kwamba mahubiri ya
maana na mafundisho ya jitihada ni yale
yanayotokana na uchambuzi wa Bibilia,
nafikiri niliwaeleza maana ya
uchambuzi wa Bibilia, nimeirekabisha
maana hiyo na kuwa nzuri toka
nilivyoandika kwa mara ya kwanza
ambayo ilikuwa katika makala ya
Fullers, Theology, News and Notes.
Hiyo ndiyo ilikuwa makala yangu ya
kwanza kuchapishwa kuhusiana na fikra
zangu juu ya hili somo. Katika makala
hiyo nilitoa maana ya: Mahubiri ya
Kibiblia, kimsingi ni mahubiri haya ya
Bibilia, kama nionavyo kwamba ni
jukumu la kufanya ujumbe ama kutoka
agano la kale ama agano jipya kwa
pamoja kushuhudia na kueleza Injilia ya
Yesu Kristo, na kuufanya ujumbe huu
kuwa unaoshawishi na wa haraka katika
lugha ya leo. Katika mahubiri kuna
upande wa kithiolojia vile vile, kuhubiri
si kusema tu kilichoandikwa ni nini,
lazima useme ujumbe huu unamaanisha
nini. Nionavyo hii inachukua safari
nzima ya Mchungaji ama Mwalimu
kuufahamu ujumbe na mpaka kwenye
utume/ uinjilishaji, hayo ndo mahubiri
ya Kibiblia, na naamini hicho ndicho
kanisa linalokihitaji, naamini ni njia
inayoshawishi zaidi, ya kiinjilisti, na
inayofuata taratibu. Ninafikiria sana juu
ya mahubiri yanayofuata kanuni na
taratibu, lakini naamini kabisa mahubiri
sahihi yanayofuata taratibu na kanuni ni
yale yanayotokana na kile
kilichoandikwa. Nitahitimisha nikiwa
nakubali lakini kwa sasa napinga
kwanza. Ngoja nifikiri kile kinachoitwa
mgongano wa kimahubiri katika
mahubiri ya siku hizi na mafundisho
katika makanisa ya leo. Siongelei juu ya
mgogoro wa uhuru wa kithiolojia au
yale yenye mtazamo usiobadilika, huu
ni mgogoro wa kanisa zima, ni
mgogoro wa kimahubiri, na hii nafikiri
ndio sababu kamati ya uchambuzi wa
Bibilia imeundwa.Nafikiri kuna aina
mbili za migogoro. Mgogoro wa
kwanza ambao naenda kuuelezea ni
mgogoro wa kimaada katika mahubiri.
Nafikiri mahubiri mengi hivi sasa
kanisani ni ya mada, ninachomaanisha
ni kwamba chanzo cha migogoro
inatokana na mada kubwa za imani zetu
ambazo huelezewa na walimu kwa
wasikilizaji wao, lakini wasikilizaji,
husikia kilichosemwa na mtu mwenye
mamlaka, na mwalimu au muhubiri
ambaye anasema hiki ndicho
tunachokiamini, hawaangalii kwamba
inatoka kwa nani, wala hawagundui
hilo wao wenyewe. Wao huambiwa tu,
na hii ndo maana ya uhubiri wa mada
wa kimamlaka, Mchungaji kasema,
“Mungu anawapenda”. Hawalitafuti
hilo katika maandiko, wanaambiwa tu.
Najitahidi kuwa muungwana na
mahubiri ya sasa yenye mkanganyiko
kama nionavyo, lakini ujumbe wa injili
unaohubiriwa na wachungaji wengi
hutokana na vyanzo vikuu vitatu :-
(1) Ni kuhusu walimu na wahubiri.
Kwa maneno mengine, mzigo
wa Bwana ambao wachungaji
wanao ni chanzo cha
ujumbe:hiki ndicho
ninachokifikiria kutokana na
kutembea na Bwana/kuwa na
Bwana.
(2) Chanzo cha pili cha mahubiri
inatokana na uzoefu wa
mchungaji, nina mashaka
kidogo kuhusu ujio huu wa
seminari za Kimarekani wa
kuhubiri kwa kusimulia kama
stori, ambapo utaelezea hadithi
yako na inatakiwa impe ujumbe
wa kiinjili mtu mwingine. Hii
inamaanisha uzoefu wa
mchungaji kuwa na Yesu kwa
wiki moja ndio kimekuwa
chanzo cha ujumbe, Jinsi ulivyo
msimuliaji mzuri wa stori
ndivyo utakavyoulizwa
Page 10 • December 1985 • THEOLOGY, NEWS AND NOTES
65
“Kuhubiri si kusema tu kile ambacho ujumbe/mstari unasema: Unapaswa
kusema unamaanisha nini.”
ujielezee zaidi kuhusu wewe
mwenyewe, kumbuka ule mstari
kwenye Mass Appeal? Pale
ambapo Padre Tim anamwambia
Mark, mseminari mdogo
aliyekuwa havutiwi kabisa na
mahubiri ya Padre Tim.
“Hujayapenda kabisa mahubiri
yangu, sivyo?” na Mark akasema
ndiyo sijayapenda” Padre Tim
akasema, “ hujui kwamba watu
wameniuliza sana kuhusu mimi
mwenyewe mara nilipomaliza
kuhubiri!” Padre Tim ni bingwa
wa kusimulia stori , ujumbe wake
hutokana na matembezi yake ya
wiki.
(3) Chanzo cha tatu, ambacho
nadhani ni hatari kuliko zingine
zote, ni ule uelewa wa ujumla
kuhusu kweli Fulani wa wakristo
wote, lakini hakuna hata mmoja
anayeweza kugundua, Wote
tunajua kweli hasa, na hivyo
ndivyo jinsi vitu vinavyoharibiwa
katika dini zisizo na mpangilio,
mkristo mdogo hawezi kujua
yanapatikana wapi. Narudia,
chanzo cha ujumbe ni vitu vitatu
katika mamlaka ya kimahubiri,
kwanza ni mzigo wa mchungaji,
na nashukuru Mungu maana
mara nyingi mzigo huu huletwa
na Roho Mtakatifu, sina wasi
wasi na hilo. Cha pili ni uzoefu
wa mchungaji, na tatu ni kile
ninachokiita uelewa wa kweli wa
jumla wa wakristo, ambapo kila
mmoja anatakiwa kujua. Yote
haya yanapelekea kupotea kidogo
kutoka kwenye injili,”nje ya
injili” “ndani ya ijili” , na maafa
makubwa ya kiinjili yakatokea.
Mashaka makubwa ya Lutha
yalikuwa juu ya injili “extra nos”
injili nje yetu sisi: kwa uadilifu
wake, inaweza ikasomwa na
kupimwa, ni imani ya kihistoria.
Mungu aliongea na aweza
kueleweka, lakini inapopotoshwa
kutokana na uzoefu wangu Injili
inakuwa haina msaada. Ngoja
niwapeni mfano wa hili, Miaka kadhaa
hapo nyuma mimi na familia yangu
tulikuwa safarini, tulishindwa kwenda
kanisani, tulimsikiliza mchungaji
aliyekuwa akihubiri katika radio,
alisema anaenda kuhubiri juu ya
thiolojia ya matumaini, akisoma
maandiko hayo kutoka Warumi 8, hii
ilinifurahisha sana kwa sababu huwa
nakipenda sana kitabu hicho hasa
Warumi sura ya 8. Sura nzima
aliyoisoma ilihusu juu ya siri ya
uumbaji, kwa maana nyingine
iliwekwa katika mipaka ya
kutojulikana sio kwa mamlaka yake
yeye bali Mungu mwenyewe,
Ungependa maandiko yaandikwe hivi
aliyaweka hayo kama siri ‘Katika
hukumu” lakini Paulo anawashangaza
wasomaji wake, aliyeweka hayo kama
siri kwasababu ya “Matumaini” hapo
ndipo neno matumaini linapoonekana,
Mchungaji huyu aliyasoma maandiko
haya katika mwanzo kabisa wa
mahubiri, na bila kuficha naweza
kusema yalikuwa ni mahubiri yenye
nguvu na kuvutia ambayo sijawahi
yasikia, yalikuwa ni mahubiri
yanayoeleweka na niliganda kwenye
radio kutoka mwanzo wa mahubiri,
mchungaji alihubiri juu ya matumaini,
kilichochukua nafasi ni mfululizo wa
historia/mikasa ya maisha yake,
alisimulia matukio mbali mbali katika
maisha na yale ambayo kayaona. Moja
kati ya hayo matukio lilikuwa ni
kusikitisha, lilinifanya mimi nitoe
machozi, ni mtu wa hisia sana, matukio
mengine yalichangiwa na baadaye
mahubiri yakafungwa kwa maombi.
Sikutaka kusema mengi, lakini
nilifadhaika sana, katika mahubiri yote
hata mara moja hakuacha maandiko
yaseme chochote, bila shaka yoyote
maandiko hayakuleta mwanga wowote
katika mahubiri, mahubiri yalikuwa
historia yake mwenyewe ya maisha
iliyomfanya ajifunze juu ya matumaini
katika maisha. Binti yangu Anne
aliniuliza, Baba unayafikiria vipi yale
mahubiri?’ nilitaka kusema kitu
ambacho ni kizuri kwa sababu, kwa
vyovyote, sisi waumini lazima
tushikamane. “Vizuri, ngoja nikwambie
kitu Anne, Nilitokwa na machozi
kwasababu ya baadhi ya maelezo, na
huo ndio uliokuwa ukweli, lakini hilo
halikumridhisha mwanangu, aliyesema
“Unajua Baba, sikuyapenda mahubiri
yale?” Majibu yake nilipouliza
kwanini wakati mimi nilidhani sio kitu
cha kusahau, “ Kuna shida gani na
mahubiri yale. Niliona kama,
mchungaji ndiye alikuwa akisema,
kwamba tuwe na matumaini kwasababu
na yeye ana matumaini.” Na huo ndio
ulio kuwa ujumbe wake, haikuwa injili,
mwanangu amekuwa anajifunza Biblia
katika sehemu nyingi, amekuwa
akisoma Paul Byer kwa muda wa
miaka miwili akijifunza maandiko ya
Marko, vile vile na maandiko ya
Habakuki.Kwahiyo Anne hakuwa
tayari kabisa kuelewa hayo, kwa
sababu amezoea kuona injili inatoka
ndani ya maandiko, vile vile alikata
tamaa kwa sababu maandiko
hayakupata nafasi ya kusema. Hapa
kuna maandiko mengi yanayo ongelea
juu ya matumaini katika maandiko yote
ya Paulo lakini hata mara moja Paulo
hajaruhusiwa kusema chochote. Badala
yake kumekuwa na mlolongo wa
masimulizi mengi ya stori, mniamini
kabisa lazima maelezo kuhusu yeye
binafsi yangeulizwa siku ile,
kwasababu hakufanya chochote kizuri,
ule ulikuwa ni usimulizi tu wa stori
zaidi. Hatari ya mahubiri yale sio hatari
ya orthodoxy, kwa sababu yalikuwa ni
mahubiri ya kiorthodoxy. Hakuwa na
kitu hata kimoja kithiolojia ambacho
ningekataa, hata hivyo kwani hiyo
ilikuwa ndo jaribio kubwa? Hatari ya
mahubiri yale ni kwamba kila mtu
aliyesikia mahubiri yale hakupata
nafasi ya kuona ni namna gani
mahubiri yale yanatokana na maandiko
katika injili, waliyasikia tu kutokana na
uzoefu wa Mchungaji. Ngoja niwaulize
swali kubwa, Kama una uzoefu wa
wiki moja, labda uzoefu na Roho
Mtakatifu, labda umeota ndoto au
maono, waweza kuhubiri hayo siku ya
Jumapili?
Page 11 • December 1985 • THEOLOGY, NEWS AND NOTES
66
“Injili na matukio yako ni mawili tofauti. Kazi ya kuhubiri ni kusisitiza mkazo
ambao utakumbukwa na kutendeka.”
Hapana, kama ni mtu uliyeachana na
desturi za zamani huwezi fanya hivyo.
Kwa uzoefu wako unakuwa mtu
mahiri, lakini inatakiwa uhubiri injili,
kwa sababu uzoefu wako na injili ni
vitu viwili tofauti. Uzoefu wako
waweza tosheleza kutoa ushahidi juu
ya injili , na kama mhubiri ni vizuri
ukawa nao ili uweze kuonyesha
uhusiano au muungano uliopo kati
yetu sisi na watu, na hii ndio sababu
halisi ya maelezo, na simulizi
mbalimbali kuhusiana na maisha yako.
Lakini hayo peke yake sio ujumbe,
hiyo siyo kiunganishi kati ya watu na
maandiko matakatifu. Kiuhalisia,
huwatenga kabisa watu na maandiko
matakatifu. Inakuwaje katika muda
ambao unakosa kabisa matumaini, ama
pale ambapo hujali? Uzoefu, mifano,
simulizi, kutokana na maisha ya mtu
mwingine havitoshi. Asante Mungu
kwa ajili ya mama Theresa, lakini yeye
sio injili. Matendo yake mema
yaliyodhihirika kule Calcuta sio habari
njema, ni ushuhuda mzuri wa habari
njema, lakini habari njema ni Yesu
Kristo mwenyewe. Injili ipo “nje yetu
sisi’ Injili ipo ndani ya maandiko, na
ni kitu kizuri namna gani pale mtu
anapogundua thiolojia ya matumaini
kutoka kwenye maandiko. Ngoja nitoe
mfano mwingine kuhusiana na tatizo
hili, kuna wachungaji wengi ambao
hawawezi kuhubiri ibada bila kutoa
msemo Fulani usio na ukweli wa
imani ya wakristo, hii hutokea kwa
sababu wanafikiri inabidi wawafanye
watu kufikia maamuzi. Kwa hiyo
mchungaji atatoa mahubiri mazuri
kutoka katika maandiko, akiyapa
maandiko nafasi ya kuzungumza,
baada ya hapo hupata kama dakika
tano za mwisho za mahubiri
kinachofuata kinakuwa ni misemo na
nahau mbalimbali ambazo mwenyewe
hazielewi na hata wasikilizaji
wenyewe hayawaingii akilini mwao.
Kwa muda huo watu huweka
makaratasi yao chini wanajua wao na
mahubiri ndio wanafikia mwisho.
Ukishamaliza kusema kile kilichopo
kwenye maandiko usimame. Kama vile
nilivyokwisha kusema, nafikiri tatizo
kubwa la mahubiri ya sasa ni kuhubiri
mada kimamlaka. Sasa hatari yake
kinyume chake ni ni kile ninachokiita
uhubiri ambao sio wa kitume, pale
ambapo matokeo ya utafiti
yanaangaliwa kwa pamoja, lakini bila
haraka na bila kuwa na subira, bila
kufahamu mzigo wa Bwana. Mtu mara
nyingine huhalalisha matatizo haya, “
Ndiyo, nashukuru nimewaambia wao
ukweli. Nimewahubiria injili” Lakini
lazima mkumbuke kwamba katika stadi
za kuhubiri na mahubiri sio kwamba
kwa sababu umeeleza kuhusu pointi
haimaanishi kwamba umeeleweka. Kazi
ya kuhubiri ni kuhubiri pointi na
kuifanya pointi hiyo ikae vichwani mwa
watu na ieleweke. Hiyo ni kutokana na
juhudi na maarifa/ ujuzi. Mwishowe
hufanya maajabu ya Roho Mtakatifu
kuifanya injili hiyo ya kweli na
maandiko.
Njia nzuri ya kufanya pointi ieleweke
ni kuacha watu waigundue ama
waitafute wao wenyewe, jukumu la
mahubiri ya wazi ni kumsaidia mtu
aone, “ Aaah kumbe ndivyo maandiko
yanavyosema. Nimeoona yalipo,
Nimeyapata….Nimeayaona.” Kwa
manenno mengine, mahubiri ya
ufafanunuzi ni kufanya maandiko yaliyo
katika agano jipya na la kale
yatengeneze pointi au wazo
linaloeleweka. Iwe katika kujifunza
Biblia katika kundi au kuhubiri kwa
ufafanuzi, nafikiri kabisa kwamba hayo
ndio mahubiri ambayo kanisa
linayahitaji. Ninakubali si kila mara
hayo ndio mahubiri ambayo kanisa
linayataka bali hayo ni mahubiri
ambayo kanisa linayahitaji. Nakubali
kabisa kwamba ninyi kama wachungaji
lazima mjuhusishe na kusoma Biblia
katika makundi ya kujifunzia Biblia.
Niliwaambia wanafunzi wangu leo “
Sheria ya kwanza; ili uwe
muwasilianaji mzuri lazima uiepuke
kanuni ya Petro.” Ambapo mtu
husimamia tu
pointi au wazo asilolijua. Lazima tuwe
makini na hayo tukiwa tunahubiri.
Kama hufundishi darasa la vijana
kuhusu mawasiliano, kwanini
ushindwe? Kama hufundishi na wala
hujihusishi na kujifunza Biblia katika
makundi madogo madogo, au kuwa
mshauri katika vikundi vya kujisomea
Biblia ukiwa na watu wanaokufanya
wewe uwajibike, kwanini ushindwe?
Kwanini umejiweka mwenyewe
sehemu hizo ambazo unajifunza neno
linasema nini, ambapo unajishusha
chini kwenye neno hilo na unashindwa
kuhubiri? Nitahimiza sisi wenyewe na
watu wetu, tuanze kusoma kiundani
Biblia katika makundi katika maisha
yetu ama kanisani.
Mwishowe nahimiza kuwa na lengo
madhubuti la kuhubiri kwa ufafanuzi
katika kila mahubiri. Kwa uhakika
naamini kwamba mahubiri mazuri ya
ufafanuzi ni pale ambapo unawafanya
watu/unawaalika kufikiria na wewe
kwa muda mrefu, kupitia maandiko,
kitabu, kupitia Biblia nzima.
Wahimize/wafanye watu wako
wafanye mazungumzo na wewe.
Nina neno, kutoka katika
Waraka wa Pili wa Paulo kwa
Wathesalanike. Kitabu cha kwanza cha
agano jipya ambacho Paulo alikiandika
ni barua alizoziandika na kutoka
Athens kwenda kanisa la Thesalonike
kwa kipindi hicho yalikuwa makao
makuu ya Macedonia. Aliandika barua
mbili kwa kanisa hilo kwasababu
kulikuwa na mambo/pointi kadhaa
zilizokuwa zikiwachanganya, lakini
vile vile aliwathamini/heshimu kwa
kuwaomba wao msaada. Neno hili
hupatikana katika Sura ya tatu ya
Wathesalonike wa I I . “ Mwishowe,
kaka na dada zangu, ombeni kwaajili
yetu, ili neno la Bwana lishike kasi na
lilete faraja kama lilivyofanya kwenu
ninyi.” Naupenda mstari huu: Maajabu
ya yote ni kwamba Roho Mtakatifu
atatutumia sisi, na lazima tuombe kwa
hilo kuliko yote.
Page 12 • December 1985 • THEOLOGY, NEWS AND NOTES
Reprinted by permission of Fuller Theological Seminary

1 comment:

  1. To join Illuminati is easy...Join the Illuminate cult online today where ever you are and get instant sum of 10,000,000,00 USD[dollars] with a free home any where you choose to live in the world and many other benefit as follows.we make your business grow faster and empower you...Joining the Illuminati brings you into the limelight of the world in which you live in today your financial difficulties are brought to an end your inseams lengthen we support you both financially and materially to ensure you live a comfortable life in comfortable slacks You can join from wherever you are,any part of the world[country] you are..from the UNITED STATE down to the most remotes part of the earth we bring you all you want, it dose not matter being Literate OR Illiterate Rich nor Poor anybody is advice to join If you are interested contact us now for all you seeks in life will comes to Reality. email us now:[illuminatipower666brotherhood@gmail.com]... /...or call +2348155285233 / whats-app
    say bye bye to poverty by joining Illuminati i never believe not until i finally join but now i am rich..this man is real he made me what i am today and i am very proud of me begin a Illuminati member... if they, can make me rich make me become something in life why don't you join also for you to also be rich the money always flows through the members like an ocean that never runs dry it dose not matters if you have been scam before contact him for help to join :::: NOTE; that in this Great Brotherhood Of Illuminati No Bloodshed And No Humans Sacrifices is involved [We Don't Kill For Anything] OK... Do not miss this opportunity THANKS.

    ReplyDelete